Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Wapi kasema alimkuta akiongea na simu?
Ndo tatizo la kudandia hovyo! mambo usiyo yajua! wenzako wanadandia magari weye unadandia thread dat's primitive nonsense. thatha! thimu! tangu lini ikaongea weye mbuyuya wa kijijini!! au umeshalewa!!

kalishe mifugo hukooo!
 
Watu wengi hudhani kwamba wanaiweza biashara lakini ukweli ni kwamba biashara, kama ilivyo vipaji vya mpira, riadha, basket ball nk, is an art, ni kipaji. Ndiyo maana wenye vipaji vya biashara utawaona leo ana genge lakini baada ya miaka 5 utakuta duka kubwa, leo ana ki grocery baada ya muda utakuta ana bonge la Bar... Hawa wengine utakuta leo ana duka la nguo na baada ya mwaka kafunga...
 
Hawa wengine utakuta leo ana duka la nguo na baada ya mwaka kafunga...
Yaan nikikuta Jamaa ananiletea pozi iwe dukani, hospital, garage, mobile money, napita kushoto, sitaki mambo mengi hayupo peke yake, ni hivyo hata mwanamke nikiona ana service Mbovu napita kushoto hayupo peke yake tena wapo wa kumwaga kila kona
 
Yess!! hayo ndo maneno! siyo unabwabwaja hovyo mpaka humu JF! kama mwanamke!
Yaan nikikuta Jamaa ananiletea pozi iwe dukani, hospital, garage, mobile money, napita kushoto, sitaki mambo mengi hayupo peke yake, ni hivyo hata mwanamke nikiona ana service Mbovu napita kushoto hayupo peke yake tena wapo wa kumwaga kila konaYees
 
Itoshe kusema
Una akili finyu sana
 
Wengi wenye fremu na viduka bongo wanafanya kuganga njaa/kujikimu kwa chakula cha siku tu huwa hawana mawazo makubwa zaidi ya hayo, ndio maana kuna kaduka mtaani kwako kako hivyo hivyo kwa miaka 20 bila mabadiliko yoyote.
 
Gazeti refu alafu limejaa ushuzi!!!!! Rudi shule usome customer Care Management au entrepreneur ndio utajua umuhimu wa mteja!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Gazeti refu alafu limejaa ushuzi!!!!! Rudi shule usome customer Care Management au entrepreneur ndio utajua umuhimu wa mteja!!!
Msiokuwa na akili za kutosha ndo mnasoma hayo! trust me. mie nina kipaji cha kuzaliwa nacho humiwezi katu!...mbona unapenda ushuzi kwani unatumiwa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…