Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Wapi kasema alimkuta akiongea na simu?
Ndo tatizo la kudandia hovyo! mambo usiyo yajua! wenzako wanadandia magari weye unadandia thread dat's primitive nonsense. thatha! thimu! tangu lini ikaongea weye mbuyuya wa kijijini!! au umeshalewa!!

kalishe mifugo hukooo!
 
Ishanitokea Mwenge miaka ya 2008-10 duka la nguo barabara ya tra, nilipenda kitu pale ila nilighairi manunuzi. Cha kufanya ni kuahirisha manunuzi aikose pesa yako. Uzuri/ubaya biashara za namna hii hazina maisha endelevu, mtafute miaka 3-5 baadae yupo chali, wachache sana wanaodumu kuvuka kizingiti hiki.
Watu wengi hudhani kwamba wanaiweza biashara lakini ukweli ni kwamba biashara, kama ilivyo vipaji vya mpira, riadha, basket ball nk, is an art, ni kipaji. Ndiyo maana wenye vipaji vya biashara utawaona leo ana genge lakini baada ya miaka 5 utakuta duka kubwa, leo ana ki grocery baada ya muda utakuta ana bonge la Bar... Hawa wengine utakuta leo ana duka la nguo na baada ya mwaka kafunga...
 
Hawa wengine utakuta leo ana duka la nguo na baada ya mwaka kafunga...
Yaan nikikuta Jamaa ananiletea pozi iwe dukani, hospital, garage, mobile money, napita kushoto, sitaki mambo mengi hayupo peke yake, ni hivyo hata mwanamke nikiona ana service Mbovu napita kushoto hayupo peke yake tena wapo wa kumwaga kila kona
 
Yess!! hayo ndo maneno! siyo unabwabwaja hovyo mpaka humu JF! kama mwanamke!
Yaan nikikuta Jamaa ananiletea pozi iwe dukani, hospital, garage, mobile money, napita kushoto, sitaki mambo mengi hayupo peke yake, ni hivyo hata mwanamke nikiona ana service Mbovu napita kushoto hayupo peke yake tena wapo wa kumwaga kila konaYees
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Itoshe kusema
Una akili finyu sana
 
Wengi wenye fremu na viduka bongo wanafanya kuganga njaa/kujikimu kwa chakula cha siku tu huwa hawana mawazo makubwa zaidi ya hayo, ndio maana kuna kaduka mtaani kwako kako hivyo hivyo kwa miaka 20 bila mabadiliko yoyote.
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Gazeti refu alafu limejaa ushuzi!!!!! Rudi shule usome customer Care Management au entrepreneur ndio utajua umuhimu wa mteja!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nimeenda dukani, muuzaji (anaonekana ndo owner) akaleta mahitaji yangu nikatoa pesa, ikawa inatakiwa irudi Cheji, akasema hana Chenji nirudishe baadhi ya Vitu ambavyo tayari nilikuwa nimeweka kwenye mfuko! nilishangaa sana ila nikamkazia nikamwambia sirudishi chochote tafuta chenji, akataka achukue mmoja wa mfuko nikamwambia jaribu kushika huu mfuko uone kitakachokutokea kama sijakumwaga ubongo hapa na kukuitia mwizi.... basi alivyoona nipo serious akaenda duka lingine akaomba chenji.... akanirudishia mm huyooooooo nikasepa.. ila ndo ashanipoteza sitorudi tena pale ingawa somo hilo nitaendelea kulitoa kwa wavivu wengine wasiojitambua kama yeye!!
 
Gazeti refu alafu limejaa ushuzi!!!!! Rudi shule usome customer Care Management au entrepreneur ndio utajua umuhimu wa mteja!!!
Msiokuwa na akili za kutosha ndo mnasoma hayo! trust me. mie nina kipaji cha kuzaliwa nacho humiwezi katu!...mbona unapenda ushuzi kwani unatumiwa mkuu?
 
Back
Top Bottom