Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Inawezekana hizo screenshots za Instagram zilikuwa zinahusiana na masuala ya biashara pia. Alichotakiwa kufanya huyo mwenye duka ni kumwambia mteja, "samahi kidogo, kuna suala ninalimalizia kisha nitakuhudumia"
Mkuu simu kaweka mezani naona kabisa ,, baba level na biashara yake wapi na wapi? Vitu vya kuchekesha
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
umeandika uchiz wa hali ya juu , zipo ethics za biashara unazijua ww ? ukitaka miliki biashara yako nunua/fungua duka hlf uwe unaenda kushinda bila kuuza , si unataka ufalme , kitendo cha kununua kitu ili uuze bas lzm ufuate ethics za biashara ,hapa sio Zanzibar au Somalia
 
Basi unauzoefu nacho, ulijuaje?

Jamni mpumbavu si lazima udharauliwe tu!! ni ugonjwa kumheshimu mjinga!

NI kawaida akili kubwa km hizi kueleweka kwa akili ndogo, chunguza uone, na km mtu simple akinielewa ntajilaumu na kujiona bado sana, kamwe huwezi kuzielewa ndo maana watu wanafail mitihani na wengine wanafaulu!

hiyo ni kawaida, ukiona unaeleweka kirahisi kwa kila mburula basi ujue weye bado sana!! Numbisa upo hapo?

Na wewe mbona unao mkuu! unanionea wivu bure tu, njoo nikuunge mkuu baba! halafu raha sana kwanza maatizo yako madogo madogo yanaisha faster! kwani unanionea wivu bure tu!!

kwanza ulijuaje unauzwa km hauja wai uuza? au huo sasa hauna thamani sasa unanionea wivu mwenzako nina biashara hapa mweee! njoo in box!

ndiyo uukule sasa mkuu!

Nimekukataza kurudia hili neno tiba kwenye avatar yako ile nyingine naona unalirudia tu!

Mbona weye huna km yeye! tafuta kivyako usiangalie vya mwengine ndo siri ya mafanikio!

Kuvurugwa inaonyesha ubinadamu wangu hawavurugwi wanyama mkuu hili nalo hujui?
Kwa hio level ya kufanikiwa Ni kuuza infinix, itel ,oraimo

Au tafsiri kwako Ni nini ? Unamaanisha nianze uza kila bidhaa nayotaka, mfano nahitaji Samsung Basi nifungue duka nijiuzie? Upo sawa kweli wewe?

Wewe danganya wenzio huna duka lolote Wala biashara yoyote Ni mwajiriwa unalipwa elf 70 sa hivi umekaa hapo kwenye meza inastika za infinix kila sehemu 😁 wewe Ni ovyo
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Pole kwa ubayopitia mkuu, hizi ni stress tu.

Gazeti lote hili wakati ishu alioileta jamaa ni kweli na wengi huwakuta.

Na mara nyingi wenye nyodo huwa ni wafanyakazi wao na sio mabosi. Ni mabosi wachache wanaoleta dharau kwa wateja.

Wala sio umaskini, ukimjali mteja kesho atakuja na wateja labda kama hujawahi kufanya biashara ndo utapinga hili.
 
Umevurugwa asubuhi yote hii,dalili mbaya ya kunyimwa unyumba
Wadada waliozalishwa na waume wa wenyewe halafu wakatelekezwa na wanalea watoto huku baba akiwa anarusha au harushi vihella wanamakasiriko kama moto.

Wamevurugwa mpk degree ya mwisho. Wako na ugonjwa wa akili. Huyu ni wa kuhurumiwa maana si kwa kulipuka huku
 
mimi huwa nasema siku zote biashara ni kipaji.
japo kuna wateja pasua kichwa lakini kama hujajua biashara ilivyo wewe ni tatizo mara mbili yake.

kanuni ya kwanza ya biashara hasa hizo za ushindani ni kwamba"mteja anatakiwa asikie,aone,na aguse anachokitarajia"sasa wewe jifanye huuzii bidhaa njaa,kwamba akitaka aende bro umekwisha
mteja ana amini yeye ana hela kukuzidi,na anataka asikilizwe, wewe vimba[emoji1]
kama una kazi uachane nayo kwanza.sasa my friend chart na wengine watsapp.

watu wanashindwa kujifunza hata kwa customer care wa mitandao,hawafokagi wameelekezwa namna bora ya kumjibu na kuhudumka mteja,picha linaanza kupandisha bidhaa bei wanaita kuboresha.

tatizo ninaloona mimi unakuta mwenye duka ni bora awe baba au mama wa muuzaji,lakini akiwa bro,mjomba,shemeji hii ndio mbaya kabisa,mamdogo.hapa kuna mambo ya hovyo sana wateja watakutana nayo,ni boss tu ndiye anajua thamani ya 50 utakayoileta kesho,hao wengine hawaelewi chochote yaani.
 
.mwenye duka ashakua maarufu ndo Mana niliagiziwa pale, nimeshangaa Sana yuko busy na insta hanisikilizi Mara ana screenshot insta anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi
Well! well! weel! nimerudi tena, niliondoka kidogo, Sasa nafunga mjadala km ifuatavyo hasa vijana mnaokua mnisikilize kwa makini sana nime waangaliaaa nikaona mnahitaji msaada wa bure humu;

weye kijana sijui mzee na Wenzako woote wasio jua Maana ya ''Mfalme ni mteja'' itawasaidia sana maishani, huko
acheni makasiriko u-kilaza siyo tusi bali ukweli wa Mambo jinsi ulivyo;

Kwanza umesha kiri moyoni mwako, na kwa hiari yako mwenyewe ya kuwa yeye muuza ni ''Maarufu hapo mjini kwenu'' hapo tu! umesha kiri moyoni Mwako kwamba Yeye pia ni Mfalme wa bidhaa kwa sana tu!

na ndivo ilivo no body shall take it away from him!...halafu weye umeagizwa pale, therefore wewe ni kafalme sababu unaagizwa, agizwa tu! nenda pale, nenda huku! so kafalme kalipo kutana na Mfalme nyota zikapingana hapo!

Yeye muuza bidhaa alikuwa anaongea na Mfalme bora zaidi kuliko weye kafalme, ni kawaida ya vifalme kudindishia wafalme wkt hawajui kitu, nakupa mfano, wa Savimbi, Mobutu seseko, Idd amini, Samwel Doe . Hitre nk!

Hawa woote walilazimisha ufalme km weye unavo lazimisha ufalme hapo dukani wkt huna nyota ya kifalme, huenda una damu zao hao walazimisha ufalme, basi bana wakajitanua kwa hali zooote kifedha,

Tena Mbaya zaidi wakaua watu wao wawezavyo kwa sababu tu nyota za ufalme wa kulazimisha hawakukubalika, ulipingwa kila kona! hivi ndivo vifalme km weye vina fanya! Lkn kilichowapata hakuna asiye fahamu,

yaani mwisho wao ulikuwa Mbaya mnoo!! kupita kiasi, kifupi Walizikwa kama Mbwa tu, na Record ya kumbukumbu zao Barani Africa ni mbaya hatare! na mara nyingi kuliko zote walikuwa vibaraka wa adui wa Bara la Africa!

yamkini na wewe ni kakibaraka flani hivi kakutumwa yumwa hovyo, mfalme hatumwi banaaaa!

Angalia sasa wenye damu za kifalme Barani Africa km Nkwame, Karume, Nyerere, huyu ulikuwa ukimpinga unakimbia km chizi/au unajifia kabla hata hajakugusa! sababu ya nyota fiche ya kifalme,

kuna huyu Mwana wa Africa Patrick Lumumba! huyu bana, japo aliuawa kikatili na wasio na damu ya kifalme lkn kipande tu cha Mwili wake kilipewa heshima kubwa mnoo! ya kifalme,

yaani lilizikwa jino lake tuu, kwa heshima zoote za kifalme! na kuweka minara ya kumbukumbu, mjini Kinshasa, nakwambia haya ili ujue kuwa Ufalme unaonekana tu hata kwa harufu!

Ndo maana Baadhi ya Ma-Boss anaweza kukufukuza kazi bila sababu ya msingi, sababu ya harufu yako ya kifalme yaani mtu husika ya ufalme! ukahangaika weee!

lkn mwisho wa siku ikafika akakukuta, mahala weye ukiwa Boss wake! na Mfalme sehemu zaidi ya pale alipokufukuza! ndo maisha yalivo!

Tukirudi kwenye suala lako weye hukuwa mteja ni mfalme kwake! kama ungekuwa Mfalme km yeye alivo mfalme! unge tulia na kusubiri uone Mwisho wake atafanya nini??...ila yeye alikuzidi NYota ya Ufalme!

Kuna watu humu wamesomea Marketing! pia na wamekuunga mkono! Lazima wajue kuwa siyo kila Mteja ni Mfalme akili ya kusoma changanya na yako, usiyachukulie ya kusoma kama yalivyo, ukaya fanyia kazi!

Ki Biblia zaidi Mungu alitukumbusha kwamba namnukuu....''siyo kila aniitaye Bwana! Bwana! ataingia ktk Ufalme wa Mbinguni'' mwisho wa nukuu!......so siyo kila ajae dukani kwako ni mfalme wengine wachawi tu km ulivo mfanyia huyo.

tuje kwako sasa! usijaribu kuona kila mteja ni Mwema kwako! (km alivo fanya huyo muuza duka) hasa weye kwa binafsi yako ni wazi hukuwa Mfalme Mteja mzuri kwa huyo jamaa mwenye Mali!

kwa sababu hukumsaidia yeye km yeye kuacha kitendo km kile ulicho kiona hakifai!! then uone ata respond vipi!! kinachofanya niseme ivo ni kuwa, wewe umekuja kumuanika humu!

Ili aonekane Mbaya kwa Umma, na apoteze wateja wake na hatimaye apoteze mazima alicho nacho, kwa sababu ya wivu wako tuu wa kichawi amabo ume play big part on your heart!!

badala ya kumsaidia ili abadirike, wewe badala ya kuwa Mfalme ni mteja, umekuwa Mfalme mchawi tena mchawi mbaya sana, hujamsaidia yeye!! unatwambia sie JF ili iweje?? tumchukie na tumpotezee!

Hakika ya Mungu ninaye mjua, huyo jamaa ambaye hakukujali km Mfalme , ulistahili ivo......yeye atasonga mbele mpaka uogope kumsogelea tena, hata uroge vepi!

kwa maneno! kwa ndumba! amesha kuwa na atakuwa ivo alivo na zaidi. Nachelea kusema km ungenunua bidhaa hapo huyo jamaa asinge uza siku nzima! huenda pia una kimavi tu hujijui! jichunguze!

Trust ma words! wewe ulikuwa ni kifalme kichawi kilichojawa na wivu/visununu/kiongo nk! kisicho stahili heshima hata kiduchu! hukustahili kutumwa hapo, na usirudie kutumwa! tumwa hovyo hapo! utazoea!

Acha wengine kazini hapo, wenye vismart waendelee kutumwa hapo Dukani, uone kma hawatanyanyuka!! kupitia huyo huyo! unaye muona hafai na unae muona mbaya kwako,

Binafsi Nina kusaida wewe na huyo aliye kutuma! yamkini ulimroga Boss wako, kwa Mganga ili akupe kipaumbele cha kutumwa tumwa hapo kazini kwenu! ndo maana uko ivo!...ndiyo zenu wabongo kuroga roga!

Nakusaidia wewe ili ujue kuishi na Matajiri/Maboss wa rika zote!........hata wao wana mitego yao, kukuona una uvumilivu kiasi gani! ili kujenga trust kwao! sasa Mfalme gani usiye kuwa na subira!

Kumbuka Mfalme haliii lii! hovyo km mwanamke wa Labour!! bali anapambana na kuonyesha njia hata kwa huyooo! Boss, uliye tumwa kwake, ndo heshima umea, tokea hukoo!!

umesha poteza Mkuu wala hufai kuigwa kwa lolote wala chochote!...watu hupaishwa kimaisha kwa vitu vidogo vidogo km hivi, subira/heshima/uvumilivu tu watakupenda sana! kumbuka hata wafalme wanajishusha!!

sasa weye ushaambiwa ni Mfalme baaasi unataka kuwapanda wafalme zaidi yako!! hata yeye huko anako nunua vifaa ni Mfalme pia ali -gain trust kwa hao!

Weye ilikuwa fursa kwako ujichunguze kwa sababu huenda una kimavi mavi! sasa alikuwa anakupotezea uende zako unajua kabisa mteja wa kwanza anakuwaga na baraka sana! ndo wafanya biashara tunaamini hayo!

Kuonyesha kwamba kweli una kimavi mavi angalia unavo mfanyia mwenzio! unamuanika kwa mabaya! kaogee maji ya baraka palee kwa mwaka sege ni bure tu!...mie nakusaidia bure Mkuu!
 
Yaani smaki ndo peke yake anajiona yuko smart na wengine wote wako wrong [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo nasimamia ukweli huo! sababu km aliona kosa angemwambia yeye huyo muuza ili ajirekebishe sasa anakuja kuanika Biashara ya mwenzake humu huo ni uchawi tu, na mna shirikiana!!
 
Anabwabwaja sana
Hilo ni jibu rahisi tu kwa hoja ngumu! hujamsaidia mfanya biashara bali huu unaofanya ni uchawi wakumuangamiza tu km uchawi mwingine!

una kimavi mavi alikuogopa kufungulia bisahara yake! wenzako wanakuogopa! kaogeee mtoni hutaki tukufanyeje sasa!
 
Wala sio umaskini, ukimjali mteja kesho atakuja na wateja labda kama hujawahi kufanya biashara ndo utapinga hili.
Bana wee!! wabongo nyie tunawajua sana! wengine nyie si wateja! ni chuma ulete! mnatumia mwamvuli wa uteja! huyu mleta Mada ni wazi kabisa ni chuma ulete, sasa amastukiwa na mwenye Duka.

na asirudi pale make anatafuta kifo sasa! sie tuna wajua sana wabongo bana msitutishe! njaa kali nyie weee!
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Wapi kasema alimkuta akiongea na simu? Mbona una create non existing problems halafu unazitolea judgments kama ndio uhalisia? Watu bana!!
 
Back
Top Bottom