.mwenye duka ashakua maarufu ndo Mana niliagiziwa pale, nimeshangaa Sana yuko busy na insta hanisikilizi Mara ana screenshot insta anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi
Well! well! weel! nimerudi tena, niliondoka kidogo, Sasa nafunga mjadala km ifuatavyo hasa vijana mnaokua mnisikilize kwa makini sana nime waangaliaaa nikaona mnahitaji msaada wa bure humu;
weye kijana sijui mzee na Wenzako woote wasio jua Maana ya ''Mfalme ni mteja'' itawasaidia sana maishani, huko
acheni makasiriko u-kilaza siyo tusi bali ukweli wa Mambo jinsi ulivyo;
Kwanza umesha kiri moyoni mwako, na kwa hiari yako mwenyewe ya kuwa yeye muuza ni ''Maarufu hapo mjini kwenu'' hapo tu! umesha kiri moyoni Mwako kwamba Yeye pia ni Mfalme wa bidhaa kwa sana tu!
na ndivo ilivo no body shall take it away from him!...halafu weye umeagizwa pale, therefore wewe ni kafalme sababu unaagizwa, agizwa tu! nenda pale, nenda huku! so kafalme kalipo kutana na Mfalme nyota zikapingana hapo!
Yeye muuza bidhaa alikuwa anaongea na Mfalme bora zaidi kuliko weye kafalme, ni kawaida ya vifalme kudindishia wafalme wkt hawajui kitu, nakupa mfano, wa Savimbi, Mobutu seseko, Idd amini, Samwel Doe . Hitre nk!
Hawa woote walilazimisha ufalme km weye unavo lazimisha ufalme hapo dukani wkt huna nyota ya kifalme, huenda una damu zao hao walazimisha ufalme, basi bana wakajitanua kwa hali zooote kifedha,
Tena Mbaya zaidi wakaua watu wao wawezavyo kwa sababu tu nyota za ufalme wa kulazimisha hawakukubalika, ulipingwa kila kona! hivi ndivo vifalme km weye vina fanya! Lkn kilichowapata hakuna asiye fahamu,
yaani mwisho wao ulikuwa Mbaya mnoo!! kupita kiasi, kifupi Walizikwa kama Mbwa tu, na Record ya kumbukumbu zao Barani Africa ni mbaya hatare! na mara nyingi kuliko zote walikuwa vibaraka wa adui wa Bara la Africa!
yamkini na wewe ni kakibaraka flani hivi kakutumwa yumwa hovyo, mfalme hatumwi banaaaa!
Angalia sasa wenye damu za kifalme Barani Africa km Nkwame, Karume, Nyerere, huyu ulikuwa ukimpinga unakimbia km chizi/au unajifia kabla hata hajakugusa! sababu ya nyota fiche ya kifalme,
kuna huyu Mwana wa Africa Patrick Lumumba! huyu bana, japo aliuawa kikatili na wasio na damu ya kifalme lkn kipande tu cha Mwili wake kilipewa heshima kubwa mnoo! ya kifalme,
yaani lilizikwa jino lake tuu, kwa heshima zoote za kifalme! na kuweka minara ya kumbukumbu, mjini Kinshasa, nakwambia haya ili ujue kuwa Ufalme unaonekana tu hata kwa harufu!
Ndo maana Baadhi ya Ma-Boss anaweza kukufukuza kazi bila sababu ya msingi, sababu ya harufu yako ya kifalme yaani mtu husika ya ufalme! ukahangaika weee!
lkn mwisho wa siku ikafika akakukuta, mahala weye ukiwa Boss wake! na Mfalme sehemu zaidi ya pale alipokufukuza! ndo maisha yalivo!
Tukirudi kwenye suala lako weye hukuwa mteja ni mfalme kwake! kama ungekuwa Mfalme km yeye alivo mfalme! unge tulia na kusubiri uone Mwisho wake atafanya nini??...ila yeye alikuzidi NYota ya Ufalme!
Kuna watu humu wamesomea Marketing! pia na wamekuunga mkono! Lazima wajue kuwa siyo kila Mteja ni Mfalme akili ya kusoma changanya na yako, usiyachukulie ya kusoma kama yalivyo, ukaya fanyia kazi!
Ki Biblia zaidi Mungu alitukumbusha kwamba namnukuu....''siyo kila aniitaye Bwana! Bwana! ataingia ktk Ufalme wa Mbinguni'' mwisho wa nukuu!......so siyo kila ajae dukani kwako ni mfalme wengine wachawi tu km ulivo mfanyia huyo.
tuje kwako sasa! usijaribu kuona kila mteja ni Mwema kwako! (km alivo fanya huyo muuza duka) hasa weye kwa binafsi yako ni wazi hukuwa Mfalme Mteja mzuri kwa huyo jamaa mwenye Mali!
kwa sababu hukumsaidia yeye km yeye kuacha kitendo km kile ulicho kiona hakifai!! then uone ata respond vipi!! kinachofanya niseme ivo ni kuwa, wewe umekuja kumuanika humu!
Ili aonekane Mbaya kwa Umma, na apoteze wateja wake na hatimaye apoteze mazima alicho nacho, kwa sababu ya wivu wako tuu wa kichawi amabo ume play big part on your heart!!
badala ya kumsaidia ili abadirike, wewe badala ya kuwa Mfalme ni mteja, umekuwa Mfalme mchawi tena mchawi mbaya sana, hujamsaidia yeye!! unatwambia sie JF ili iweje?? tumchukie na tumpotezee!
Hakika ya Mungu ninaye mjua, huyo jamaa ambaye hakukujali km Mfalme , ulistahili ivo......yeye atasonga mbele mpaka uogope kumsogelea tena, hata uroge vepi!
kwa maneno! kwa ndumba! amesha kuwa na atakuwa ivo alivo na zaidi. Nachelea kusema km ungenunua bidhaa hapo huyo jamaa asinge uza siku nzima! huenda pia una kimavi tu hujijui! jichunguze!
Trust ma words! wewe ulikuwa ni kifalme kichawi kilichojawa na wivu/visununu/kiongo nk! kisicho stahili heshima hata kiduchu! hukustahili kutumwa hapo, na usirudie kutumwa! tumwa hovyo hapo! utazoea!
Acha wengine kazini hapo, wenye vismart waendelee kutumwa hapo Dukani, uone kma hawatanyanyuka!! kupitia huyo huyo! unaye muona hafai na unae muona mbaya kwako,
Binafsi Nina kusaida wewe na huyo aliye kutuma! yamkini ulimroga Boss wako, kwa Mganga ili akupe kipaumbele cha kutumwa tumwa hapo kazini kwenu! ndo maana uko ivo!...ndiyo zenu wabongo kuroga roga!
Nakusaidia wewe ili ujue kuishi na Matajiri/Maboss wa rika zote!........hata wao wana mitego yao, kukuona una uvumilivu kiasi gani! ili kujenga trust kwao! sasa Mfalme gani usiye kuwa na subira!
Kumbuka Mfalme haliii lii! hovyo km mwanamke wa Labour!! bali anapambana na kuonyesha njia hata kwa huyooo! Boss, uliye tumwa kwake, ndo heshima umea, tokea hukoo!!
umesha poteza Mkuu wala hufai kuigwa kwa lolote wala chochote!...watu hupaishwa kimaisha kwa vitu vidogo vidogo km hivi, subira/heshima/uvumilivu tu watakupenda sana! kumbuka hata wafalme wanajishusha!!
sasa weye ushaambiwa ni Mfalme baaasi unataka kuwapanda wafalme zaidi yako!! hata yeye huko anako nunua vifaa ni Mfalme pia ali -gain trust kwa hao!
Weye ilikuwa fursa kwako ujichunguze kwa sababu huenda una kimavi mavi! sasa alikuwa anakupotezea uende zako unajua kabisa mteja wa kwanza anakuwaga na baraka sana! ndo wafanya biashara tunaamini hayo!
Kuonyesha kwamba kweli una kimavi mavi angalia unavo mfanyia mwenzio! unamuanika kwa mabaya! kaogee maji ya baraka palee kwa mwaka sege ni bure tu!...mie nakusaidia bure Mkuu!