Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Mbona povu limekutoka sana , itakuwa ndio tabia zako sio bure ,mteja ni mfalme ,bila wateja huwezi kuishi mjini km unafanya biashara tulia dawa ikuingie
Kuelimishwa bure siyo povu!! tulia upate maarifa! sikia sasa ''Mfalme ni kidampa tu! ajifunze kuwa na adabu'' kwani ni akina nani wamempa madaraka huyo Mfalme wenu kilaza, ni sisi tunae mlipa kodi kupitia maduka yetu ili aishi??

Tunamtuma sisi kwa kodi zetu aende nchi mbali mbali atuwakilishe! tukimkataa huyo Mfalme ataongoza majini?? tena tunampindua kiulainii tukiamua, si angalia tu ndugu Mfalme jiwe yuko wapi?

tulimfukuza akasahau hata kutubu! Angalia Mfalme kikwete aliishi kwa adabu zake huyo hapo!! Duniani anakula kona km kawa! na posho tunamlipa kwa hiari km zooote sisi wenye Maduka!

sababu alijua kuishi kwa adabu na sisi wenye maduka makubwa na viwanda! tukamtangaza kwa hela zetu hizi!! hizi! tukamlipa posho aende huko Duniani!!

Mfalme ni adabu kwanza kwa Umma anaouongoza! ndo awe mfalme! siyo dharau kwa unao waongoza weeeee!! huna damu ya kifalme naona!
 
Kuelimishwa bure siyo povu!! tulia upate maarifa! sikia sasa ''Mfalme ni kidampa tu! ajifunze kuwa na adabu'' kwani ni akina nani wamempa madaraka huyo Mfalme wenu kilaza, ni sisi tunae mlipa kodi kupitia maduka yetu ili aishi??

Tunamtuma sisi kwa kodi zetu aende nchi mbali mbali atuwakilishe! tukimkataa huyo Mfalme ataongoza majini?? tena tunampindua kiulainii tukiamua, si angalia tu ndugu Mfalme jiwe yuko wapi?

tulimfukuza akasahau hata kutubu! Angalia Mfalme kikwete aliishi kwa adabu zake huyo hapo!! Duniani anakula kona km kawa! na posho tunamlipa kwa hiari km zooote sisi wenye Maduka!

sababu alijua kuishi kwa adabu na sisi wenye maduka makubwa na viwanda! tukamtangaza kwa hela zetu hizi!! hizi! tukamlipa posho aende huko Duniani!!

Mfalme ni adabu kwanza kwa Umma anaouongoza! ndo awe mfalme! siyo dharau kwa unao waongoza weeeee!! huna damu ya kifalme naona!
Toka kwenye huo usingizi utachelewa sana
 
mbususu yake Haina wateja hata angeringa Sana
Sawa weye hukutoka kwenye Mbusus Mkuu! tena ukalia haswaaa! ungeiheshimu basi hata kidogo hiyo mbusus ilo kutoa mkuu! si dhani km yupo aliye itumia hiyo mbususu
 
Kaajiriwa duka la infinix huyo Hana mtaji mbususu yake Haina wateja hata angeringa Sana
Anapenda utajiri ila nyota ya mjusi
Kabisa huyu kaajiriwa kwenye duka la mtu analipwa elfu sabini km sio 80 ,sasa wateja wanakuja anaona kama wasumbufu maana akiangalia kazi anayofanya na pesa anayolipwa ni vitu tofauti ,sasa kaona hasira atumalizie sisi ,ww dada hayo maisha umeyachagua mwenyewe asituletee makasiriko sisi atulie amalize dozi yake kwanza
 
ukweli siyo usingizi mkuu jitafakari! Mfalme kidampa tu!! anaweza pigwa chini any time akawa nothing! vilevile!
Ntakuja nimwambie boss wako akuongeze mshahara maana naona unakoelekea siko ,subiri ntaongea na boss wako atakuongezea mshahara sawa dear wangu
 
Kabisa huyu kaajiriwa kwenye duka la mtu analipwa elfu sabini km sio 80 ,sasa wateja wanakuja anaona kama wasumbufu maana akiangalia kazi anayofanya na pesa anayolipwa ni vitu tofauti ,sasa kaona hasira atumalizie sisi ,ww dada hayo maisha umeyachagua mwenyewe asituletee makasiriko sisi atulie amalize dozi yake kwanza
Jamani elfu 80, ndogo?? hiyo kubwa sana kwangu! nitafika mbali mnoo!...km mteja msumbufu muelezee aache kukusumbua kwani shida iko wapi??...hasira siyo dhambi hata Mungu anazo! na mie nimeumbwa kwa mfano wake!
 
Mshahara wangu unanitosha sana tu! usihangaike labda unayo mengine
Ntakuja nimwambie boss wako akuongeze mshahara maana naona unakoelekea siko ,subiri ntaongea na boss wako atakuongezea mshahara sawa dear wan
 
sisi sio watoto huna unachojua
Nyie ni vitoto vizee, tena vya shule nzee, ni kwamba usijekuwa Mfalme ukadhania utakaa ivovivo milele, au hutapinduliwa na ukabaki nothing Maisha yako yoooote! la hasha!

jifunze kuwa km Mfalme kikwete! ana/alivo heshimu watu, na watu wakamuheshimu na Dunia ikamuheshimu! angalia alipo...inapendeza kwakweli! Mama nae vilevile!
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Nime cheka sana.... Ujue wewe una hasira zako umeona uzimalizie KWa mtoa mada.... Afu usikute ni mfanya kazi mahala, tena wale wafanya kazi ambao mnapiga soga ofisini mteja akiwa anasubiri (Hapo natania usihamaki)...
Tukirejea kwenye lengo la mtoa mada.... Kwamba huyo jamaa ange mkaribisha tu mteja na kumweleza kwamba anamalizia kumhudumia mteja mwengine kwenye simu angepungukiwa nini?

Hivi ushawahi kuingia benk wale watoa huduma KWa wateja wanavyo kuwa waungwana KWa wateja? Hata kama anatoa huduma KWa mteja mwengine utaambiwa karibu na tafadhari subiri mteja mwengine akimaliziwa kupata huduma......


Acha uvivu ndugu..... Umehamaki kama vile umepigwa nyundo ya utosi bwana..... Muda wa kazi kazi ifanyike
 
Nyie ni vitoto vizee, tena vya shule nzee, ni kwamba usijekuwa Mfalme ukadhania utakaa ivovivo milele, au hutapinduliwa na ukabaki nothing Maisha yako yoooote! la hasha!

jifunze kuwa km Mfalme kikwete! ana/alivo heshimu watu, na watu wakamuheshimu na Dunia ikamuheshimu! angalia alipo...inapendeza kwakweli! Mama nae vilevile!
Una matatizo ya akili
 
Back
Top Bottom