smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Changu doa mbona ni biashara classic wewe!! tunatoa huduma kwa watunga sheria wenu! mlipaswa kutheshimu sana. afu tunachagua tunavo taka! wewe ukija nakikwapa chako akuu humpati mtu!Kachangudoa hako , ulimbukeni na umasikini ni problem
Bunge likianza tu hamtuoni mjini!!...af tunaishi safiii!! Mkuu ukiona vepi njoo nikuunge! shida zote utazisikia tu make unatuonea wivu buree! wkt hata weye una naniliu, au unasmeaje mkuu baba!