Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Jamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!

nikuangalie wkt niko kazini??? hutaki si uende kwingine bana?? niache na mali zangu kwani lazima ununue hapa?? ukitaka kuonwa nenda Miss world huko!

Jamani nakuroga weye chuma ulete! mbona jambo dogo sana tu!
Kumtumaini Mungu ni chanzo Cha maarifa usipende uchawi utakupoteza shauri yako
 
Sasa kwetu tumezoea kumtumaini bwana ni chanzo Cha maarifa okoka update akili acha kutembea naguvu za Giza
Loool hako ka yesu kenu kakijana kazungu ka vatican, hako ndo unakategemea? kwanza hakana hata msuli yaani kakija nakapiga makofi mbili tatu kuleee.

tena kaambie kakae huko huko! pia badooo wewe na kayesu kako hako ni wachawi tu!
kakaambie mie nimesema mimi si mnakutan kwenye maombi huko au?!
 
Kumtumaini Mungu ni chanzo Cha maarifa usipende uchawi utakupoteza shauri yako
Ndg mbona hamnielewi mungu wako wa RC hanihusu huyo kwanza simtaki! mwizi tu, mbaguzi wa rangi, mkoloni yaani weye mtu kakuuza utumwani bado unamuona mungu umerogwa weye si bure!
 
Ndg mbona hamnielewi mungu wako wa RC hanihusu huyo kwanza simtaki! mwizi tu, mbaguzi wa rangi, mkoloni yaani weye mtu kakuuza utumwani bado unamuona mungu umerogwa weye si bure!
Ndio anakupa pumzi anakulinda hapo ulipo isingekuwa yeye ungekuwa wapi??
Ni huruma zake
 
Hata km mie siyo Boss, ni Bosss lkn wateja wengine km mleta mada siyo wafalme bana ndo ukweli
biashara yako inategemea mteja kwa namna yoyote lakini mteja hategemei biashara yako. Acha kuajiri watu kafanye mwenyewe kwa mienendo hyo uone kama utamaliza miaka 2. Kwanza nina wasi nawewe
 
Huna duka we kapuku ,, wewe Ni mnuka mnduku mmoja hauna kazi za kufanya
Mie Nakwambia ndo maana ulifukuzwa pale Dukani! unadhihirisha hapa! na ulistahili na utastahili hayo! kifupi walikudharau! ndo km hivi!

eti wajamani muoneni eti huyu awe mteja wa mtu kweli wa duka kubwa, hapo hunijui sikujui lkn uko hivi? unaweza kuwa unaongea Na Nabii wako! eti unatukana!! Mfalme gani ana domo chafu hivi??

Halafu eti anajua matumizi ya wembe wajameni? mweee!! ongea point tukuelewe siyo unaleta za matusi hapa! Labda nikusaidie ulistahili ile huduma mbovu na itakuandama Duniani mpaka kaburini!

Wakurya ndo mlivyo tunawajua kuwa mna ubabe wa kizamani sana! sikia sasa nahitimisha ''utafukuzwa sana, mpaka ukose Makao'', niamini mie na hiyo Guest Bubu yako! utafunga rasmi miezi mitatu ijayo nakupa!
 
Mie Nakwambia ndo maana ulifukuzwa pale Dukani! unadhihirisha hapa! na ulistahili na utastahili hayo! kifupi walikudharau! ndo km hivi!

eti wajamani muoneni eti huyu awe mteja wa mtu kweli wa duka kubwa, hapo hunijui sikujui lkn uko hivi? unaweza kuwa unaongea Na Nabii wako! eti unatukana!! Mfalme gani ana domo chafu hivi??

Halafu eti anajua matumizi ya wembe wajameni? mweee!! ongea point tukuelewe siyo unaleta za matusi hapa! Labda nikusaidie ulistahili ile huduma mbovu na itakuandama Duniani mpaka kaburini!

Wakurya ndo mlivyo tunawajua kuwa mna ubabe wa kizamani sana! sikia sasa nahitimisha ''utafukuzwa sana, mpaka ukose Makao'', niamini mie na hiyo Guest Bubu yako! utafunga rasmi miezi mitatu ijayo nakupa!
Inaonekana wewe ni ke hakuna mwanaume wa hivi
 
biashara yako inategemea mteja kwa namna yoyote lakini mteja hategemei biashara yako.
Hayo ndo i matokeo ya division ooooo!.......hivi vitu viwili vinategemeana! hujui kitu naongea na mburula tu
 
Hayo ndo i matokeo ya division ooooo!.......hivi vitu viwili vinategemeana! hujui kitu naongea na mburula tu
Nina uhakika wewe haunizidi elimu hata kwa huo uchawi wako halambi!
 
Back
Top Bottom