Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Gazeti lote hilo la nini ndgu,
Ni kwa sababu nakushauri hekima ili uelewe!! .
mbona una makasiriko sana
kwa sababu ni mgumu kuelewa halafu una chuki binafsi kwa wenye nazo, si kipendi fanya kazi upate!nimekupa ufafanuzi lkn huelewi! sasa nani ana makasiriko?? sisi wenye hela Mambo yetu shega tu!

kamwe matajiri hatumkasikii maskini! anayewinda ufalme kunako Maduka ya watu! nenda kwako uone unavo nyenyekewa vizuri na mkeo!

ukataliwe Nyapu kwa nkeo hasira kwa muuza Duka! inakujaje hiyo Mkuu sie tuko njema tu!
 
Ni kweli hiki kichwa level nyingine mkuu! usikurupuke tena na hoja mfu! inabidi ujipange sana!!
Umeona kimya umeanza kufukua reply za nyuma.
We kweli hamnazo, tafuta kazi ufanye mkuu. Hii kubishana jf sifhani kama inakuongezea chochote.
 
Ni kwa sababu nakushauri hekima ili uelewe!! .

kwa sababu ni mgumu kuelewa halafu una chuki binafsi kwa wenye nazo, si kipendi fanya kazi upate!nimekupa ufafanuzi lkn huelewi! sasa nani ana makasiriko?? sisi wenye hela Mambo yetu shega tu!

kamwe matajiri hatumkasikii maskini! anayewinda ufalme kunako Maduka ya watu! nenda kwako uone unavo nyenyekewa vizuri na mkeo!

ukataliwe Nyapu kwa nkeo hasira kwa muuza Duka! inakujaje hiyo Mkuu sie tuko njema tu!
Sawa.
 
smaki unaonekana una maisha ya kuigiza mno
Kwani kuigiza dhambiii?? kwa sheria ipi? usikariri hovyo dogo!! ...kudadadadeki!!!! jeshi la Mtu mmoja!! macho! kwa macho! wote chali wenzako wamekimbia kusiko julikana!

weye bado unaleta vi-point less vyako hapa!!! unatafuta umaarufu au????
 
Ni kawaida ...toka nizaliwe Sina utaratibu wa kwenda direct na kununua kitu kwanza huwa sitembei na pesa ya kitu husika ili nifanye maamuzi sahihi pindi nikirudi kwangu kesho yake ndo natoka napesa nachagua duka moja lenye customer care nzuri na Bei reasonable ..

Nyie utajiri mtausikia tu kwa watu

Utajiri unaujua lakini wewe [emoji28]?,au ukishakula chipsi yai na ukimiliki Tv ndio unajiona tajiri!
 
Ishanitokea Mwenge miaka ya 2008-10 duka la nguo barabara ya tra, nilipenda kitu pale ila nilighairi manunuzi. Cha kufanya ni kuahirisha manunuzi aikose pesa yako. Uzuri/ubaya biashara za namna hii hazina maisha endelevu, mtafute miaka 3-5 baadae yupo chali, wachache sana wanaodumu kuvuka kizingiti hiki.
Daaah mara nyingi wengi wenye customer care mbaya wanakuwa siyo wamiliki ni ndg au jamaa wa mmiliki na wototo .
 
Daaah mara nyingi wengi wenye customer care mbaya wanakuwa siyo wamiliki ni ndg au jamaa wa mmiliki na wototo .
Upo sahihi, naamini hata mie niliowakuta hawakuwa ni wamiliki, kwa umri na tabia zao, ila kama ni wao basi biashara sio fungu lao ama si kitu wanachokitegemea huenda wanatoka familia zenye ukwasi so failure ama loss kwao haiwabughudhi
 
Hatuwataki bana! sawa walitoka huko kunako umaskini lkn sasa hawapo! huko umaskinini njooo nunua fuata sheria za pale siyo uje eti wewe mteja ni mfalme ulete huo ufalme kwangu nyoooo utakoma nakwambia!
Biashara inahitaji nidhamu na siyo kujiona. Waliosema mteja ni mfalme hawakukosea wapo sahihi.
Unaenda dukani, unakuta mtu yupo bize na simu. Unamuliza hiki kinauzwaje ana kujibu kwa kifupi 80,000 halafu yupo bize na simu. Ndiyo maana biashara za wabongo wengi huwa zinabaki vilevile miaka nenda rudi halafu anaanza kulalamika wateja hakuna.
Ukimhudumia mteja mmoja vizuri ataleta mwingine. Unajua unaweza kumfanya mteja kununua kitu ambacho alikuwa hataki au hana mpango wa kununua? Wabongo hawajui
Yeye akifungua biashara akipata pesa basi anajiona yeye ndiyo boss na mteja amnyenyekee.
 
Hatuwataki bana! sawa walitoka huko kunako umaskini lkn sasa hawapo! huko umaskinini njooo nunua fuata sheria za pale siyo uje eti wewe mteja ni mfalme ulete huo ufalme kwangu nyoooo utakoma nakwambia!
Hauna tofauti na fundi mmoja. Jamaa yangu baada ya kutengenezewa meza na huduma yake nzuri basi tukampa hela atutengeneze sturi 5. Zangu 2 na jamaa 3 tukampa hela ikabaki 25,000.
Chenga zikaanza, tunaenda anasema kesho, mwisho wa siku tukaanza kudai hela.
Tumeenda na jamaa kwakua jamaa anafahamiana na fundi vizuri na hela ya sturi nimkabidhi na siku ya kwenda tulienda yeye.
Katika kudai basi nami nikaongea. Nikamwambia hiyo hela tumechanga tupo wawili kwahiyo km kazi imekushinda turudishie alinijibu hivi. Sikujui wewe kwanza ww ni matakle tu.
Nikanyamaza tukachukua pesa. Nataka nichonge TV show case na mwenzangu anataka sturi. Tukaenda jiran yake hapo, bei hatukuelewana na jamaa.
Jamaa akataka kwenda kwa huyo jamaa, nikamwambia tusiende jamaa atajiona keki sana.
Tukaenda kwa fundi mwingine. Tukatengenezewa, napita TV showcase yangu ananiona napita hapo.
Mhudumie mteja vizuri, mteja kakukuta upo na simu unaweka pembeni unamhudumia na kumshawishi. Hautakiwi kumpoteza mteja hata mmoja.
Mteja ndiyo pesa.
 
Kwani kuigiza dhambiii?? kwa sheria ipi? usikariri hovyo dogo!! ...kudadadadeki!!!! jeshi la Mtu mmoja!! macho! kwa macho! wote chali wenzako wamekimbia kusiko julikana!

weye bado unaleta vi-point less vyako hapa!!! unatafuta umaarufu au????
Usifikiri kila mtu ni mdangaji kama wewe mkuu. Watu wako na mishe zao ndo maana wamekuacha peke yako. We unaona fahari kila mtu kukuacha na ujinga wako?
 
Wahindi wengi wana customer care nzuri sana tofauti na baadhi ya sisi waswahili.
 
Upo sahihi, naamini hata mie niliowakuta hawakuwa ni wamiliki, kwa umri na tabia zao, ila kama ni wao basi biashara sio fungu lao ama si kitu wanachokitegemea huenda wanatoka familia zenye ukwasi so failure ama loss kwao haiwabughudhi
yeah ila bhana hamna cha Ukwasi wala nini hii tabia wanayo sana sana watu wa kanda ya ziwa ukute msukuma au myamwezi ana mipesa mengi harafu anabiashara kawaida kabisa kukuta huduma kwa wateja mbovu kabisa ,tena ukute mwarabu msukuma/mnyamwezi balaaa na mwisho wa siku wanauwa biashsara yenyewe. mfano ; MABASI YA MOHAMED TRANS.
ila kwa wenzetu wazungu na wachanga , wahindi at least.
 
Back
Top Bottom