Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Kujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
Soko la haki kivipi? Bidhaa ikiwa sokoni mteja anaangalia kilicho bora. Tasinia ya filamu inahitaji uwekezaji mkubwa, billions of money. Hii tasinia imevamiwa na wahuni na wauza sura wasio na vipaji.
 

hamna shida waende wakamshitaki lakini hakuna wa kununua uchafu wao, ni mwendo wa kupakua tuu
 
Hiyo siyo inayotakiwa kwenye swala la movie zinatajiwa sticker maalum kwa kila CD inauzwa shs 300 halafu inatakiwa ikakaguliwe bodi ya filamu kwa shs 500000 na wao wafanye hivyo kabla ya kuuza dukani.

Kama mnalipishwa isivyo mnapaswa muilalamikie serikali kuhusu hayo malipo bila kuwahusisha wasiohusika, mathalani hiyo ya kodi na laki 5 kwa bodi ya filamu.

Na mngefanya hivyo yawezekana mpaka sasa hayo malipo yangeishaondolewa au kupunguzwa.

Badala yake, nyie mnaangaika kucreate matatizo mengine.Serikali yoyote makini haiwezi kukubali kukosana na machinga nchi nzima wanaoishi kwa hizo CD za nje kwa sababu ambazo hazina mahusiano ya moja kwa moja na ya kimantiki.

Mjitafakari upya.
 
Hahhhh Safi sana.ila mkuu zimefungiwa dar 2.
 
Duuh...labda wafunge na website za kudownload...wateja hawalazimishw kununua bidhaa,wateja wanachagua wanachokiona ni bora kwao,wateja wanaangalia prefferences and taste
 
Wawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Uwa wanankera kwel
 
Kweli hawa ndo bongo movie, wanaendelea ku act movies.....
hahahahahaha ngoja niishie kucheka tu kuptia comment zenu maana cna cha kuongezea kila kitu mmekisema ngoja niendelee kula popcorn huku nikiangalia series ya DEFENDANT. 😛😛
 
Noted
 
Teh
Hawa wauza sura wafanye kazi waache maneno... Watu wanapiga kazi toka enzi za Lufufu Leo anakuja na sura yake ya mapenzi na kuanza kuleta blah blah blah.
Shenzi porini.
hahahahahhahahaha SHIKAMOO tena kwa herufi kubwa sio kwa kunichekesha huko
 
Hii mibongo movie mijinga sijawahi kuona, eti think tank wao ni Bashite.............Duuuh.
 
Wengine walipe kodi pia
kwani wakilipa kodi ndio kazi zenu zitakuwa nzuri? kazi zenu mbayaaaaa tumewachoka tena mnavyozidi kufanya ujinga huu ndivyo mnavyozidi kuwaudhi watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…