Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mkuu badala ya kudiscuss masuala ya engineering umehamua kuingia kwenye umbea rasmi??![emoji53][emoji53][emoji53]Bongo muvi wanaanza kumtafuta mchawi nani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatununui ng'ooo mafilamu yao hata wafanye nini.
AhahahaaaaAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu
Sasa kama hali yenyewe ndio hii tutegemee nini. Wakipata vihela kidogo tu atataka dunia nzima ijue,Yusuph Mlela
View attachment 503825
Soko la haki kivipi? Bidhaa ikiwa sokoni mteja anaangalia kilicho bora. Tasinia ya filamu inahitaji uwekezaji mkubwa, billions of money. Hii tasinia imevamiwa na wahuni na wauza sura wasio na vipaji.Kujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
Binadamu ana moyo mmoja tuWapeni Nafac watafanya vzuri tuwape moyo jamani
Hiyo siyo inayotakiwa kwenye swala la movie zinatajiwa sticker maalum kwa kila CD inauzwa shs 300 halafu inatakiwa ikakaguliwe bodi ya filamu kwa shs 500000 na wao wafanye hivyo kabla ya kuuza dukani.
Hahhhh Safi sana.ila mkuu zimefungiwa dar 2.Katika kero yangu kubwa kwenye mabasi ni yale ma-tv yao hakika yananikera na utadhani wamerogwa maigizo ulioyaona Dar Lux utayakuta Shabiby,jana nimeamua kupanda Sai baba toka Dar–Sumbawanga kwa kua nilijua hawana tv wala redio ingawa scania imechoka ila nilikua na amani kwa kua kero ya bongo movie nilijua haipo.
Ebu nenda kategue panya wa kitoweo cha mchanaYeye anakudharau zaidi
Uwa wanankera kwelWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
hahahahahaha ngoja niishie kucheka tu kuptia comment zenu maana cna cha kuongezea kila kitu mmekisema ngoja niendelee kula popcorn huku nikiangalia series ya DEFENDANT. 😛😛Kweli hawa ndo bongo movie, wanaendelea ku act movies.....
NotedHapana,tayari kuna regulations za kutosha kuratibu masuala ya sanaa na movie.Tupo kwenye ulimwengu wa utandawazi, kuwa na bodi inayohakiki video za nje ni kutofahamu wakati tuliopo.Ukienda hapo inabidi uunde na tume ya kusimamia habari za TV za nje, miziki ya nje, na habari za mitandao ya nje inayoonekana Tanzania, sasa jiulize tukifanya yote haya tutafika?hatuwezi kuwa kisiwa.
Wao wangelalamika kuwa Basata haina maana kuwepo wangekuwa na hoja,tujiulize kwani Nigeria nao kabla hawajatoa movie uwa inapitiwa na bodi kama Basata?India wana bodi kama Basata?Marekani wana bodi kama Basata?Basata ina umuhimu gani kuwepo kwenye dunia ya sasa wakati haiwezi kucontrol soko kwenye dunia ya utandawazi?kwanin jukumu la kuangalia movie inafaa au haifai lisibaki kwa soko na local TV?
Kingine wangelalamika kwanin walipe kodi kwa CD kabla ya kuuza wakati kama biashara au kampuni (kama wanazo), mwisho wa siku watalipa kodi kwa mapato waliyoyapata?kwanini wao walipe before lakin biashara zingine viwanda vikiwepo wanalipa baada ya kuuza au kupata mapato?na je hii sio double taxation?
Bongo Movie wanachokosa ni ubora wa kazi zao na kukosa watu wa kuwaongoza.Wajitathmini kwa ukweli,wajue walaji wanataka nini,wafanye hayo.
hahahahahhahahaha SHIKAMOO tena kwa herufi kubwa sio kwa kunichekesha hukoTeh
Hawa wauza sura wafanye kazi waache maneno... Watu wanapiga kazi toka enzi za Lufufu Leo anakuja na sura yake ya mapenzi na kuanza kuleta blah blah blah.
Shenzi porini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu, Mlela ni msanii wa Bongo movieMlela ndio kidude gani
Ni vya kwetu kweli, lakini ni vibovu sasa, tuendelee kusifia Ushuzi wa Bongo movie wakati ni mbovu?Cfieni vyakwenu tuache ushabiki jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ray amebaki kunywa maji tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani wakilipa kodi ndio kazi zenu zitakuwa nzuri? kazi zenu mbayaaaaa tumewachoka tena mnavyozidi kufanya ujinga huu ndivyo mnavyozidi kuwaudhi watuWengine walipe kodi pia