Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Kwani akina Mlela wanapoweka maneno ya kiingereza, yayotafasili kiswahili kilichotumika kwenye movie zao huwa wanataka nini ?
Waache ujinga,anayetakiwa kumshitaki huyo DJ ni Wamiliki wa hizo movie zinazotafasiliwa siyo akina Mlela na wenzake.
Mlela kavurugwa na njaa kali
 
Wanamshitaki kwa niaba yao
 
Hao wacha wapigike na bado wataendelea kupigika hadi akili itakavyowarudia maana na laana za watanzania kwa jinsi walivyoegemea ccm kipindi cha uchaguzi
Kwani watanzania wote ni wapinzani wa ccm
 
Hivi kuna mtu mzima anaweza kuangalia huo up....zi unaoitwa BONGO MOVIES? Wanatafuta wa kumlaumu tu. Wakae chini wajipange ila siwezi kupoteza muda wangu kungalia hayo maigizo yao artificial!!! Bora wacheze kiduku na kuvaa sare za nyinyiemu ndo watapata mkate wao wa kila siku tu!!!!
 
Waache njaa wanashindwa kufanya kazi nzuri zenye ubunifu wanahangaika na watu wanaotafuta ridhiki mara walalamikie wamachinga. BONGO MOVE NA BADO MPAKA MPATE AKILI .....USAWA HU HABEBWI MTU hakuna cha mutoto ya ng'ombe wala ndama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…