advent luoga
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 103
- 34
Mimi Ndio huwa siziangaliagi kabisa Hakuna jipya zaidi ya mapenzi tu. Na mavazi ya ajabuajabu. Hazina maadili kwawatoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahh jambazi anaingia ndan kuiba anavua viatu nje.Kuna season inaitwa Merlin hivi utaniambia niache kuingalia Merlin niangalie jini anavuka barabara anaangalia kushoto Na kulia kisha ndo avuke barabara...hahahaha
Kama ww ni msanii wa bongo movie bas hamna namna,unashindwa kutetea hoja Kwa points,umebaki na maneno ya kwenye taarabuAliact peke yake movie nzima?
Mbona Chikundi hajazimia Kwa matusiDuuh ...bongo movie wakiingia humu wanazimia na haya matusi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
wao bongo movies watamshitaki jamaa kama nani ?Bongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
kwani wao ni tra ? hilo jukumu ni traZifuate utaratibu ikiwemo kulipa kodi
Mkuu umeua. Mimi nikajua ushuzi ni hewa na harufu kumbe wenzetu man macho makali hata hewa mnaiona. Ha...ha...haa.. Kusema ukweli bongo Mimi ni upuuziWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
"My proffesional is a loyer" duuu,, ndo maana sijawahi kuangalia bongo movie hata moja labda zile za kwenye mabasiAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
DJ afro movie zake online zipo?Nchini Kenya yupo DJ flani hivi jamaa anajiita 'DJ Afro'.Ukitazama movies zilizotafsiriwa na huyu DJ hautakuja kuangalia bongo movies milele,jamaa ametafsir movie nyingi sana kama vle Brothers Grimsby, Viral factor,fast and furious zote,movies zote za Dolph Lundgren,Movies za Michael Dudikoff,Prisoners of war the escape (P.O.W),Escape from Surbibor, Many ways to die in the west, movies za Keny Koshugi (mtoto wa Shokoshugi),Yankee the Zulu.Pia ukifuatilia kpind cha Churchill show huwa wanapenda kumualika,huyu DJ yuko very talented na huwa napenda movies zake kwa kuwa huwa anatafsiri tukio na cyo maneno.Kwa fikra hizi wanazokujanazo ndugu zetu wa bongo movies wanapaswa kujipanga.
Unapiganiaje haki ya soko wakati hakuna aliekukataza kufanya biashara?Wanapigania haki ya soko
Waliodhurumiwa na nani?Wanataka haki
Hicho ndio cha kufanya na sio KUIBA.Bongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
Sasa movie za kurekodi na tecno zinagharama kweli?Ray anatoa Movie mbili yenye part 1 & 2 kila wiki
Kwahiyo mwezi mmoja anatoa Movie 8
Sijui hata budget yake ikoje [emoji23]
Afuate tu