uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,214
- 783
Haitasaidia za kwao kununuliwa bashite weweHawana mandate ya kufanya hivyo wanataka walipe kodi ili bei ya CD za nje ipande kama yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitasaidia za kwao kununuliwa bashite weweHawana mandate ya kufanya hivyo wanataka walipe kodi ili bei ya CD za nje ipande kama yao
Sindano inawauma ukienda kwa muhindi kuulizia malipo anakwambia move haziuziki unahamishia hasira kwa chikorii [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Sio wote
Hata kama wacha bei iwe sawa kwanza ndio utasema hivyo unavyosemaHaitasaidia za kwao kununuliwa bashite wewe
Lazima walipe kodi wasipende dezoSindano inawauma ukienda kwa muhindi kuulizia malipo anakwambia move haziuziki unahamishia hasira kwa chikorii [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ikakaguliwe wapi move zenu ndio zinakaguliwa kwa nchi husika sisi hata bila tafsiri tunaangalia na mtaisoma namba badoHiyo siyo inayotakiwa kwenye swala la movie zinatajiwa sticker maalum kwa kila CD inauzwa shs 300 halafu inatakiwa ikakaguliwe bodi ya filamu kwa shs 500000 na wao wafanye hivyo kabla ya kuuza dukani.
Lazima ikaguliwe kama INA maadili ya kitanzaniaIkakaguliwe wapi move zenu ndio zinakaguliwa kwa nchi husika sisi hata bila tafsiri tunaangalia na mtaisoma namba bado
Wote wawili wanatafasiri.Dj Murphy sio dj mark
ndio mkuu..mi nlikuwa namjua huyu wa Arusha..huyo mark ndio namsikia janaWote wawili wanatafasiri.
Chikundi anaumia alitegemea move zimtoeMbona Chikundi hajazimia Kwa matusi
Hivi huyu huwa anatafsiri au anasimulia??Dj Murphy sio dj mark
Sasa huyo Dj mark kwa dare es salaam ndo maarufu Sana kuliko huyo Dj muphy.pia sauti zao zinafanana flani hivindio mkuu..mi nlikuwa namjua huyu wa Arusha..huyo mark ndio namsikia jana
Marph ni bonge la dj bongo nzima hakunaMtoni mtongani,huyo mafi alicopy kwa jamaa,
Anatafsiri series za kihindi..kikorea..kichinaHivi huyu huwa anatafsiri au anasimulia??
huyu chikundi ni actor nini?? huku JF kila thread ya bongo movie lazima awateteeChikundi anaumia alitegemea move zimtoe
Ndio eti nayeye ameficha jina Lake watakula chamahuyu chikundi ni actor nini?? huku JF kila thread ya bongo movie lazima awatetee
Hahaha aisee hatari kweliMbona hata wao zao zimetafsiriwa tena kwa broken English watu hawasemi
Kwanza siku zote walikuwa wapi waje kukurupuka mwaka huu?Ndio eti nayeye ameficha jina Lake watakula chama