Zegayar
Member
- Apr 11, 2017
- 10
- 5
Mi ndo kabisaa nilishasahau kama huwa kuna bongo movie aisee!
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa achecheeee!!Dj mark ni wa Dar humjui duh utakuwa mwoga kuangalia mapicha ya kutisha kama mazombi mavampire na etc tena nimaarufu sana kuliko huyo Dj mafy anapenda kupiga mrusi na kusema wanakuja
Nazi zipo nying tu akiwa studioKitendo cha kuanza kumshitaki ndo watamuongezea umaarufu wengi tutapenda tumsikie dj mark live kwanza mwenye clip ya dj mark anitumie
Sent from my E6653 using JamiiForums mobile app
Hahaaa hizo subtittle ni nomaAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
nimekuelewa mkuuKuna Dj mack mzee wa mzombi na Dj mafy mzee wa series watu wawili hao Dj mafy A town Dj mack Dar cill
Sheedah kweliAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()