Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

Hahaha hao watu wajinga sana
 
Mkuu jinsi ulivyo tukandia sisi vilaza ni wazi kuwa unachuki nasisi na sio filamu. Kwa hiyo tulipokimbia shule na kuwaacha nyie majinias iliwauma eee? mlitegemea maisha yatuchape siyo?
🀣🀣🀣☝️Umepata pesa kaongeze elimu basi,rlimu haina mwisho...ww ndio kwanza unaongeza mke huoni kama ni ukilaza huo
 
🀣🀣🀣☝️Umepata pesa kaongeze elimu basi,rlimu haina mwisho...ww ndio kwanza unaongeza mke huoni kama ni ukilaza huo
Mkuu umejuaje km nina wake wawili? Wewe kingo nishakujua kumbe ndo ID yako ya humu ntakutafuta. Na kwa taarifa yako nina mpango wa kuongeza wa 3 nasubiri Mama Samia aweke mambo zawa tu.
 
Ni kwel tasnia ina mapungufu ,Ila habari ya make up artist kuishia darasa la pili ni ndo unaona jambo la kushangaza kwako mtoa thread? Je unataka mtu awe masters ndo akapake make up wasanii wakat ^makeup ni local knowledge inatolewa na collage za mtaani eg maznat collage.
Nawasilisha
 
Usifananishe developed country and developing country.Usikae unalaumu watu,je wewe umetoa mchango gan kwenye tasnia?
 
Umejibu kisomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…