Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile suti ilioZa akabaki na pensi[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile suti ilioZa akabaki na pensi[emoji3][emoji3][emoji3]
Umetolea mfano wa simba kwani simba inapewa pesa na serikali.Bwana Heriel umeongelea sababu moja tu kati ya nyingi inayosababisha kuwepo kwa hii hali. Sababu kubwa ya hali kuendelea kuwa hivi ni serikali yako kupuuzia hii tasnia na kutouwa serious. Bajeti za filamu kali ni mabilioni ya pesa huko Hollywood. Huyo kijana wa darasa la saba au hata aliyetoka chuo mwenye degree anapataje mamilioni ya kutengeneza filamu kali? Wakijitokeza wenye hela zao na kutaka ku-finance hawatawekewa zengwe la kodi kama zote na wengine kuanza kuambiwa ni watakatisha pesa? Hakuna fani yoyote duniani iliyoweza kukua bila mkono wa serikali. Pale DRC muziki wao ni mkubwa kwasababu serikali zao ziliwapa sapoti kuanzia ukoloni hadi leo. Hata ukiangalia Simba leo inafanya vizuri ni kutokana na hela kuwekezwa za kutosha. Acheni kuwalaumu tu wasanii bila kufikiria. Au basi waache hata hiyo fani wawe vibaka ndo mtaelewa.
Siri ya mtungi daah unaona kabisa hawa jamaa wana kitu aisee .Mitaji sio shida mkuu.
Hizo hizo filamu wanazoigiza mbona wanaigiza utumbo mtupu?
Shida ni shule Mkuu,
Mtunzi hana shule
Muongozaji hana shule
Mtayarishaji hana shule
Mchukua kamera hana shule
Waigizaji hawana shule unategemea nini hapo?
Hizo filamu zingine kama Siri ya Mtungi, Chumo zimeongozwa na watu wenye shule,
Inawezekana uko sahihi lakini wengi mnaowachukua kwa kigezo cha mvuto wanashindwa kuvaa uhalisiaMkuu suala la acting ni uwanja mpana sana, kupasi vizuri chuoni hakukutoshelezi wewe kuwa ni muigizaji mzuri.
Ndio maana mwaitwa vilaza, ukisikia make up unadhani ni kupaka poda tu, make up artist ni kipengele kikubwa sana, hizo movies za wenzetu uzionazo mfano za kutisha sio wote wanavaa masks au zamani tuliaminishwa ni computer, kuna wengine ni make up tu, mfano kaangalie movies za Guardians of the Galaxy, yule Drax mwili wake kua na michoro michoro vile ni make up ilipakwa 3 hrs, yule Gamora ile rangi ni make up pia, kuna Joker, na wasanii wengine wengi tu,Ni kwel tasnia ina mapungufu ,Ila habari ya make up artist kuishia darasa la pili ni ndo unaona jambo la kushangaza kwako mtoa thread? Je unataka mtu awe masters ndo akapake make up wasanii wakat ^makeup ni local knowledge inatolewa na collage za mtaani eg maznat collage.
Nawasilisha
Nimetoa sababu tayari, ulozi, fitna na majungu sijajiandaa kukabiliana navyo.Dream Queen unaogopa nini? na je kikwazo ni nini kinachokwamisha?
Na siku hizi sijui wamegundua nini, cheating mwanzo mwisho, huyu kam cheat yule, yule kamcheat huyu wake na waume za watu.Mtoa mada umeongea Jambo la mbolea Sana , nilifatilia CV ya Michael Scofield kwenye series ya Prison Break ,aisee jamaa mpak ana master's ya uigizaji , yaani kiufupi Tu Holywood huwez kupewa script kama shule ni zero kichwani.
Bongo movie hawana jipya Kwa sababu ni poor in education , hebu niambie kama kuna kipande cha kuiendesha ndege au meli nani atacheza ?.? Hata masuala ya ku-crack code za Mawasiliano hcho kipengele Nani atacheza ?? Wanabaki Tu na vitu normal kama Mapenzi , kuendesha vigali basi., na kufunguliana mageti huku wakiwaza
Mbona nilishaelezea ni masuala ya financial issues, ndy yanayopelekea hizo movie wanazofanya zisiwe na ubora...Mazingira gani hayo Boss?
Unajua Movies wanazoigiza hizi hizi kama zingeigizwa na watu wenye uwezo mkubwa zingekuwa tofauti kabisa?
Yaani ni kero tupu aisee...kwa Bongo movie siku zote Gateman lazima awe kama taahira fulani hivi..sijui wamejifunza wapi?
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ray ... Vicente kigosi kuvaa heren scene ya ofisini na pia baba wa familia ni utopoloBinafsi naona mtoa mada umemaliza kila kitu.e
😁😀😀😀😀Hahaha labda huko kuzimu aliuza suti yake ili apate nauli ya kurudi.
Mkuu au atafute tu ile short film ya dk 1 "maybe another time " aone ni dk 1 tu lakini unakua thrilled.Mkuu hizo hizo wanazoigiza zenye bajeti ndogo mbona hakuna wanachofanya.
Hivi unafuatilia filamu za kikorea au kifilipino?
Yaani kuna filamu ukiiangalia tuu ukiikadiria bajeti yake sio kubwa haina mambo mengi, lakini filamu inakuwa nzuri,
Haya niambie Kanumba aliwezaje?
Yaan wanatutisha, na hili Monalisa aliwahi lizungumzia kwenye kipindi cha Salama na Monalisa, wenyeji wanabana chances za wageni wenye uelewa wa darasani kwa maslahi yao,
Si dhambi kujifunza vitu vipya atii.
Mi nilijua watasingizi labda tecnology ukicheck series na vi movies za kifilipino hakuna TECNOLOGY sena mtiririko mzuri wa story unavutia mtazamaji.Embu angalia Series nyingi za Kikorea au Kifilipino Bajeti ni yakawaida, mazingira ni ya dailojia tuu lakini filamu zao zinakuwa nzuri, embu angalia Wanaijeria halikadhalika
Mkuu hizo hizo wanazoigiza zenye bajeti ndogo mbona hakuna wanachofanya.
Hivi unafuatilia filamu za kikorea au kifilipino?
Yaani kuna filamu ukiiangalia tuu ukiikadiria bajeti yake sio kubwa haina mambo mengi, lakini filamu inakuwa nzuri,
Haya niambie Kanumba aliwezaje?
Bongo movie kweli ni vilaza sana. Maisha yao yote hawanaga kabisa ubunifu wa aina yoyote kila siku theme yao ni mapenzi tu kila movie ni mapenzi tu yani mapenzi tu kila kona kumbaf zao.