Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Tanzania tuna utaratibu wa kushangaza. Mtu akistaafu ndiyo anaanza kufanya kazi, tena kwa bidii na maarifa zaidi. Huko ughaibuni mtu akistaafu anaanza kusafiri kutalii. Anatulia akiburudika na michezo au hobby mbalimbali. Huku kwetu hali tofauti kabisa. Mtu akistaafu ndiyo kazi inaanza. Tena anakuwa anatamani astaafu haraka ili apige kazi kisawasawa.
Huu utaratibu una shida yeyote? Kuna haja ya kubadilika?
Huu utaratibu una shida yeyote? Kuna haja ya kubadilika?