Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Hey hey hey, I go to your mom's address because you attacked a woman a woman that represents your mom too, so what happened to her could happen to your mom too that's what I mean, how would you feel if she is treated like how you treated her by saying I go there to her place and I smelled her and she stinks like shit, how could you feel ?) If it's your mom being treated like that how would you feel ?) Take it from that side and stop that shit
Whatever man! What shishi did was stupid and there is no other way of addressing it, it had to go like that, quid pro quo, you scratch my back i scratch yours. THAT WAS NOT FAIR , and I pray to God she sees this and maybe she will change for good…
 
Whatever man! What shishi did was stupid and there is no other way of addressing it, it had to go like that, quid pro quo, you scratch my back i scratch yours. THAT WAS NOT FAIR , and I pray to God she sees this and maybe she will change for good…
Mengi hufanyika nyuma ya Camera, kwa kukusaidia ungemtafuta Cameraman wa ile video akakuelezea vizuri, apart from that utabakia na hard feelings tu you don't know the truth that's why nakuuliza what if alikua hanuki kikwapa? Ulikua pale wewe ukamnusa pia?
 
That's why I said emotionally you go too far, nenda kaulize waliokua behind nini kilichotokea usibebe Jambo km lilivyo ukalifanya km lilivyo sababu umeliona km lilivyo, don't take it personal and punguza hizo emotions zako za kufeel may be this isn't right you see what if she don't stinks was you been there, did you smell her to verify if it's true?
Kwahiyo ile ilikuwa sawa sawa ? Au unataka kuniambia that was acting ? Anyways ukiifungua tu hii post uki scroll down utaona similar discussions mtu mwingine anasema hawa jamaa waache abuse, na ni kweli wana abuse watu na watu hawana cha kufanya sababu wana shida, me binafsi sipend dharau, mtu kama shilole nae anamdharau mtu kwenye mziki na anaenda kabisa kwenye mambo ya ndani kabisa na hapo kwenye mziki hamna kitu, what if her music career was sky rocketing ? Si angenyea watu kichwani ? Me watu kama hao siwateteagi na viwanjani tunakutana nao masta hamna kitu bob. Honestly speaking siwez tetea ishue kama hiyo
 
Stop bragging mnaboa kinoma, hizi bullying zinakupa shillings ngap yeye anaingiza Pesa punguza ujinga
Kuingiza pesa siyo tija ila ni utu. Hizo pesa anazoziingiza mbona haziwapi kununua uhai ili waishi milele?
Tangu bongo star search ianze hao washindi 1 mpk 3 mbona wanazidiwa na watu walioshindwa Bongo Star Search?
*Harmonize, kuna nani aliyemzidi hapo tangu ianzishwe BSS?
*Bruce Africa kuna mshindi gani 1 aliyemzidi tangu bbs ianzishwe?
BBS ilianzishwa ili itafute watu wanaojua kuimba ila siyo wenye vipaji vya kuimba.
 
Mengi hufanyika nyuma ya Camera, kwa kukusaidia ungemtafuta Cameraman wa ile video akakuelezea vizuri, apart from that utabakia na hard feelings tu you don't know the truth that's why nakuuliza what if alikua hanuki kikwapa? Ulikua pale wewe ukamnusa pia?
Bro basi hanuki kiharufu, she is a sexy lady, she is not chubby, hayuko overwheight, her music career is skyrocketing and she is doing good, and alichofanya pale ni kitu kizuri sana…Satisfied ?….
 
Kwahiyo ile ilikuwa sawa sawa ? Au unataka kuniambia that was acting ? Anyways ukiifungua tu hii post uki scroll down utaona similar discussions mtu mwingine anasema hawa jamaa waache abuse, na ni kweli wana abuse watu na watu hawana cha kufanya sababu wana shida, me binafsi sipend dharau, mtu kama shilole nae anamdharau mtu kwenye mziki na anaenda kabisa kwenye mambo ya ndani kabisa na hapo kwenye mziki hamna kitu, what if her music career was sky rocketing ? Si angenyea watu kichwani ? Me watu kama hao siwateteagi na viwanjani tunakutana nao masta hamna kitu bob. Honestly speaking siwez tetea ishue kama hiyo
Jibu swali: ulikuepo pale kuhakikisha kwamba yule binti kweli she was stinking au ndio tayari kuna kitu kichwani hakijakaa sawa? Hautaki kusikia what you want keep on attacking and saying whatever you feel to say, ulikuepo kuhakikisha?
 
Bro basi hanuki kiharufu, she is a sexy lady, she is not chubby, hayuko overwheight, her music career is skyrocketing and she is doing good, and alichofanya pale ni kitu kizuri sana…Satisfied ?….
Sijakwambia useme hivyo na sikupingi ili useme hivyo, tunaelimishana na kurekebishana, it isn't about mocking one another and I am not satisfied
 
Jibu swali: ulikuepo pale kuhakikisha kwamba yule binti kweli she was stinking au ndio tayari kuna kitu kichwani hakijakaa sawa? Hautaki kusikia what you want keep on attacking and saying whatever you feel to say, ulikuepo kuhakikisha?
Kwahiyo shilole kadanganya ? Yule bint hata facial expression ilibadilika alivyoambiwa hivyo, we jamaa these indrustry hoes wanazingua sana , we umeona maigizo yale au sio ?
 
Sijakwambia useme hivyo na sikupingi ili useme hivyo, tunaelimishana na kurekebishana, it isn't about mocking one another and I am not satisfied
Sasa kwa nlichokiona kwenye video ile ndio mockery ya kiwango kikubwa sana na ndio mana nikamind sababu mbona wao tunakaa nao ni wakawaida tu kwanini wanakua hivyo behind cameras ? Remember the days za straight music ilikuwaga inafanyika viwanja vya posta pale makumbusho salama tulikuwaga tunachil nae kipindi kile dominic nyalifa alikuwa anampelekea moto mbona walikuwa poa tu na nadhan ye ndio kaharibu hiyo sijui bongo star search yao yan kila judge anadhani kumponda mtu na kumsiliba ndio ujudge….Tuwe wakweli ukimweka nandi pale anaweza akamwambia yule dada anakwapa inatema ? Au tuseme ilikuwa maigizo, maudhui yake ni nini ?
 
Kuingiza pesa siyo tija ila ni utu. Hizo pesa anazoziingiza mbona haziwapi kununua uhai ili waishi milele?
Tangu bongo star search ianze hao washindi 1 mpk 3 mbona wanazidiwa na watu walioshindwa Bongo Star Search?
*Harmonize, kuna nani aliyemzidi hapo tangu ianzishwe BSS?
*Bruce Africa kuna mshindi gani 1 aliyemzidi tangu bbs ianzishwe?
BBS ilianzishwa ili itafute watu wanaojua kuimba ila siyo wenye vipaji vya kuimba.
What you say you may be correct in one way but also you may be incorrect in another way, mimi sio msemaji wa BSS kwa hio hilo siwezi kulizungumzia mkuu Ila kuhusu uimbaji, muziki na vipaji ndio lengo la kipindi it doesn't matter wanaopita wanafika wapi lakini dhulumi na lengo litimie vijana wapate morali ya kuonyesha vipaji vyao sio kitu kibaya it's free ni wewe na kipaji chako na ukifanikiwa unakula bingo sasa huoni km ni Jambo jema hilo ndugu? Kwanini usiiangalie Coin on both sides head and tail?
 
What you say you may be correct in one way but also you may be incorrect in another way, mimi sio msemaji wa BSS kwa hio hilo siwezi kulizungumzia mkuu Ila kuhusu uimbaji, muziki na vipaji ndio lengo la kipindi it doesn't matter wanaopita wanafika wapi lakini dhulumi na lengo litimie vijana wapate morali ya kuonyesha vipaji vyao sio kitu kibaya it's free ni wewe na kipaji chako na ukifanikiwa unakula bingo sasa huoni km ni Jambo jema hilo ndugu? Kwanini usiiangalie Coin on both sides head and tail?
Sawa shishi babe
 
Sasa kwa nlichokiona kwenye video ile ndio mockery ya kiwango kikubwa sana na ndio mana nikamind sababu mbona wao tunakaa nao ni wakawaida tu kwanini wanakua hivyo behind cameras ? Remember the days za straight music ilikuwaga inafanyika viwanja vya posta pale makumbusho salama tulikuwaga tunachil nae kipindi kile dominic nyalifa alikuwa anampelekea moto mbona walikuwa poa tu na nadhan ye ndio kaharibu hiyo sijui bongo star search yao yan kila judge anadhani kumponda mtu na kumsiliba ndio ujudge….Tuwe wakweli ukimweka nandi pale anaweza akamwambia yule dada anakwapa inatema ? Au tuseme ilikuwa maigizo, maudhui yake ni nini ?
Wewe upo too emotional hujiulizi maswali kabla ya kuchukua maamuzi unafanya maamuzi bila kutafakari na unatafakari pasipokujua nini ni nini na nini ni nini, usilinganishe watu kila mtu ana namna yake ya uwasilishaji ujumbe na kila mtu ana namna yake ya kuzungumza na watu,
 
Wamtoe huyo Shilole kabla hajawaharibia hicho kipindi. Naona majaji walimuaibisha baada ya kwenda kumkumbatia yule dada. Very stupid Shilole. Lakini hata hivyo BSS inakaribia kifo chake kwa kuendekeza wajinga Kama Shilole.
 
Wamtoe huyo Shilole kabla hajawaharibia hicho kipindi. Naona majaji walimuaibisha baada ya kwenda kumkumbatia yule dada. Very stupid Shilole. Lakini hata hivyo BSS inakaribia kifo chake kwa kuendekeza wajinga Kama Shilole.
Wewe unatoa amri hio hata kipindi chenyewe haukifuatilii wala haujui kinarushwa wapi au channel ipi lakini ndio umebeba mawe makubwa makubwa mikono yote miwili, shame on you
 
Back
Top Bottom