Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Ama pata pesa tujue tabia yako.
Shilole wa kuwa na dharau namna hiyo?
Shilole wa kuwa na dharau namna hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ni kampuni ya vingambuzi inaitwa hivyo Ila pia ni kuna kituo cha television St Swahili, St Mambo, St Bongo, St Kungfu, St Drama, nk humo utakutana package za vifurushi mbalimbali pindi ukinunua kingambuzi cha dish au antenna, kuna vifurushi vya Uhuru, Mambo na NyotaKuna kituo cha TV kinachoitwa Startimes au ni huku porini nakoishi kunanizeesha?
Fafanua 'Babu Njunju' umeshamaliza kulia lakini?Shtukeni nyie. ZOTE hizo ni orchestrated. Najua nachosema.
Nlikua namnjunjumila mtu ana kario gumu kweri laha nimepata kwa taaabu. Sis wabeba tofar tunakula wa taip zetu km hyu kario gumFafanua 'Babu Njunju' umeshamaliza kulia lakini?
Wangefungia huu upuuziBasata wako usingizini wanakoroma.!
Kwanza amekeketwa shilolle😂😂😂😂Kwamba kipochi manyoa kinatoa😂😂😂
Huyo sio mwanamke ni mwanaume huyo.Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji
Ana jasho baya sana Shilole labda liwe limekata siku hizi maana kitambo sijakutana naye.😂😂😂😂Kwamba kipochi manyoa kinatoa😂😂😂
Unaambiwa mashine yake misuguo miwili tu inatema ng’onda ile mbaya ndio mana wahuni hawakai, kaniudh sana huyo biachNani kakwambia Shilole msafi? Usichokijua kiache hivyo hivyo, mambo mengine hayaandikiki
Anatema ng’onda ile kishenz nliendaga shishi fud kule ada estate na mwanangu kabla hawajamvunjia kmmk aisee acha kabisa yan na ule mwili anavuja jaso lina nuka kama gari la mavi lile la manispaa ya kinondoniAna jasho baya sana Shilole labda liwe limekata siku hizi maana kitambo sijakutana naye.
Yaan unalifanya nini kalio gumu ?) Babu umeniacha ebu tuone picha ya kaliogumuNlikua namnjunjumila mtu ana kario gumu kweri laha nimepata kwa taaabu. Sis wabeba tofar tunakula wa taip zetu km hyu kario gum
Kumbe ulisoma nao classmates ?)Sijawahi kuangalia hicho kipindi toka kianze.
Huwa nawasoma tu hao majudge mitandaoni.
Ila nafahamiana nao wote
Mda gani huyo aliekusambazia data ?)Kuna mdau wangu wa nguvu alinambia huwa wanatengeneza visa kwa kushirikiana na washiriki baadhi. Ni mdau wa media house na alikua moja ya production crew ya kipindi way back.
Kwa hio imekusaidia nini na wewe unataka kubakwa ?)Ndio maana walimbakaga huko igunga