Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Kuna kituo cha TV kinachoitwa Startimes au ni huku porini nakoishi kunanizeesha?
Hio ni kampuni ya vingambuzi inaitwa hivyo Ila pia ni kuna kituo cha television St Swahili, St Mambo, St Bongo, St Kungfu, St Drama, nk humo utakutana package za vifurushi mbalimbali pindi ukinunua kingambuzi cha dish au antenna, kuna vifurushi vya Uhuru, Mambo na Nyota
Mfano kwa antenna vifurushi hivi hapa
Screenshot_20231104-093524.png
 
Fafanua 'Babu Njunju' umeshamaliza kulia lakini?
Nlikua namnjunjumila mtu ana kario gumu kweri laha nimepata kwa taaabu. Sis wabeba tofar tunakula wa taip zetu km hyu kario gum

Kuna mdau wangu wa nguvu alinambia huwa wanatengeneza visa kwa kushirikiana na washiriki baadhi. Ni mdau wa media house na alikua moja ya production crew ya kipindi way back.
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Huyo sio mwanamke ni mwanaume huyo.
 
Ana jasho baya sana Shilole labda liwe limekata siku hizi maana kitambo sijakutana naye.
Anatema ng’onda ile kishenz nliendaga shishi fud kule ada estate na mwanangu kabla hawajamvunjia kmmk aisee acha kabisa yan na ule mwili anavuja jaso lina nuka kama gari la mavi lile la manispaa ya kinondoni
 
Back
Top Bottom