Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
We jamaa unajua unachokisema au unasema tu ?)Huo mradi wao wakipumbavu tu Hakuna mtu ambaye wamemfanya kuwa star upuuzi mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa unajua unachokisema au unasema tu ?)Huo mradi wao wakipumbavu tu Hakuna mtu ambaye wamemfanya kuwa star upuuzi mtupu
Hili lilishazungumziwa tayari na limekwishajibiwa tayari, Ila bado mnauliza na mnashangazwa yupo pale sio tu km jaji au Msanii au muimbaji au Mchekeshaji n so forth Ila pia ni km influencer kwenye masuala mazima ya ujasiriamali muwe mnafuatilia basi wanapotoa majibu ya maswali yenuHili la Shilole kuwa jaji ndio limenishangaza,
Wewe ndio umereact tofauti,kuna watu hawajui kwamba vipo vikwapa vya asili,yaani sio kwamba mtu haogi au ni mchafu,kosa kwake ni kutoka jasho tu,balaa.
sisi wengine tunajua na wala huwa sio mada.
huyu kaamua kumdhalilisha mwanamke mwenzake,eti anampa hela akanunue perfume,yaani ndio kakazia kabisa upuuzi wake.
We ni fara sanaStop bragging mnaboa kinoma, hizi bullying zinakupa shillings ngap yeye anaingiza Pesa punguza ujinga
Wewe ndio umereact tofauti,
Sio fara ni 'Fala' mura, punguza jazbaWe ni fara sana
Wenzako wametoka kusema wanapigwa mtungo nahisi kwenye mtungo waliokuwepo na wewe ulikuepo unapigwa pamoja nao, come againunapakatwa mwanangu.
Kumbe ndo wewe shishi bebiOishit nimekua Shilole tena? Duuh Mimi ni Mpetde kuna mtu kaniita Mende mda sio mrefu wewe sasa unaniita Shilole hivi kwanini hivyo?
Sio Mimi, Mimi ni Mpetde huoni kwani au kusoma kazi ngumu ID hio hapo soma basi,Kumbe ndo wewe shishi bebi
Nitajie mtu yoyote aliyetoka huko akawa msanii Hadi leo yupo katika peakWe jamaa unajua unachokisema au unasema tu ?)
Wewe umeongea neno la msingi, sasa nsahangaa watu wanavyojifanya km hawaelewi wanajisahau wakumbushe mkuuUzuli tunakufa... na TunanukA ..
Watu wanajisahau sana
Shishi food mtaalamu wa biriani,,Sio Mimi, Mimi ni Mpetde huoni kwani au kusoma kazi ngumu ID hio hapo soma basi,
DuuuhNitajie mtu yoyote aliyetoka huko akawa msanii Hadi leo yupo katika peak
Acha kua hivyo basi,Shishi food mtaalamu wa biriani,,
hao vijana wanatafuta maisha, hapo walipo hana gari, hana mafuta, hana sabuni, ni shida tupu, huwa nakutana na watu dsm wana vikwapa hivyohivyo lakini nawaelewa, kwasababu hata akioga, anapanda daladala, anagombania gari, anatembea kwa mguu majasho everywhere, mwendokasi wenyewe tu ukipanda wengine hawajaoga, utashindwaje kuwa na kikwapa?Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia...
Kwa maana akawa anatembea na mpanya ulooza huko huko kusikojulikana?Nahisi upo sahihi, ukizingatia lile limwili lazima litakuwa linanuka. Kinashomstiri ni kuwa na visenti vya kununua manukato.