financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ooh haya imekaa vizuri hii.Wewe umereact tofauti Ila yeye hajareact km wewe ulivyoreact you see the difference?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh haya imekaa vizuri hii.Wewe umereact tofauti Ila yeye hajareact km wewe ulivyoreact you see the difference?
Reaction yako na reaction yake ni tofauti don't you see the difference? Wewe ulivyoreact na yeye alivyoreact ni tofauti kabisa hauoni? Angalia tena hio video look at her facial expressions, did she react like how you do?Hivi huyu dada akimshtaki kwa kumdhalilisha ni sawa? Au hakuna mashtaka ya kudhalilishwa utu?
Rommy naona unatetea ugali wako kwa shishi 🤣🤣🤣Inaonekana wewe ulikua nae kipindi anapugwa na inaonyesha mlipigwa mtungo pamoja sio kwa maelezo hayo
Mimi Rommy ?) Nimekua Rommy mara hii ?)Rommy naona unatetea ugali wako kwa shishi 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 umeanzaaaChuma kinatema cheche 🔥🔥🔥🔥😄
Mkuu kumbuka wanakutana na washiriki zaidi ya 5000 per day wanaoingia kwenye audition, uwe unafikiria kwa upana kidogo usifikirie hapa tuHivi kuna watu bado wanaangalia huo ujinga? Hao majaji ni wapumbavu kupitiliza, bado wanadhani kuattack mtu personally ni part of musical judging.
Hivi kuna watu bado wanaangalia huo ujinga? Hao majaji ni wapumbavu kupitiliza, bado wanadhani kuattack mtu personally ni part of musical judging.
Hilo lilishajibiwa kwamba huwezi kuonyesha umahiri wako within 1 minute and 45 second, yaan hivyo hilo linajulikana wazi sio kila anafeli interview hajui kituHao wezi ndo walimkataa Harmonize leo mm nawecheka tu
Sawa Masta JHii ni topic nyingine pana sana, ukianza kuizungumzia hapa hapatatosha huwezi kuonyesha umahiri wako ndani ya dakika 1 na sekunde 45, itoshe kusema hivyo
Asante kwa kushiriki,Sawa Masta J
Huo mradi wao wakipumbavu tu Hakuna mtu ambaye wamemfanya kuwa star upuuzi mtupuHilo lilishajibiwa kwamba huwezi kuonyesha umahiri wako within 1 minute and 45 second, yaan hivyo hilo linajulikana wazi sio kila anafeli interview hajui kitu
Hivi kuna watu bado wanaangalia huo ujinga? Hao majaji ni wapumbavu kupitiliza, bado wanadhani kuattack mtu personally ni part of musical judging.