toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Yeah kweli lakin kama hiyo namna anayotumia huyo mtu kufikisha ujumbe haifai asiambiwe ? Tutakuwa tunatengeneza jamii ya aina gani ? Inawezekana nimekosea kwasabu I was emotional lakin hiyobhaitoi ukweli kuwa shishi kakosea , yan kosa lake haliwez kufutika kwa kosa langu mimi, inabid ukubali kakosea na inabid ajirekebishe , nothing more nothing lessWewe upo too emotional hujiulizi maswali kabla ya kuchukua maamuzi unafanya maamuzi bila kutafakari na unatafakari pasipokujua nini ni nini na nini ni nini, usilinganishe watu kila mtu ana namna yake ya uwasilishaji ujumbe na kila mtu ana namna yake ya kuzungumza na watu,
Mstaarabu kivipi ?)Mwambie kwanza Shilole awe mstaarabu.
DuhAnatema ng’onda ile kishenz nliendaga shishi fud kule ada estate na mwanangu kabla hawajamvunjia kmmk aisee acha kabisa yan na ule mwili anavuja jaso lina nuka kama gari la mavi lile la manispaa ya kinondoni
Hakuna alichokosea nimekuuliza wewe ulikuepo pale kwenye eneo la tukio ukathibitisha kwamba kweli Shilole amesema yule binti anatoa harufu ya kwapa je ni kweli ulithibitisha kua ni kweli anatoa harufu na je km ni kweli is it bad kumwambia mtu ukweli? Ulichotaka awe mnafiki? Yes of course kwa wengi watasema pale kwenye camera sababu ya audience mtasema she is wrong lakini yeye ile ni part yake she is playing her role asee she is an actress you see comedian too sasa je nikikwambia alikua ana-make jokes with her will you still be mad?Yeah kweli lakin kama hiyo namna anayotumia huyo mtu kufikisha ujumbe haifai asiambiwe ? Tutakuwa tunatengeneza jamii ya aina gani ? Inawezekana nimekosea kwasabu I was emotional lakin hiyobhaitoi ukweli kuwa shishi kakosea , yan kosa lake haliwez kufutika kwa kosa langu mimi, inabid ukubali kakosea na inabid ajirekebishe , nothing more nothing less
Nisingechukia yes ningechukulia kawaida tu hata huyo victim kwenye video hajachukulia vibaya km nyinyi mlivyofanya mmevumisha ubaya sana,Kuna jamaa hapo juu Bonge Kama Shilole na anamtetea Shilole, nimemuuliza yeye akiambiwa hivyo atafurahia?. Maana usifurahie mwenzako kuaibishwa wakati wewe ungeambiwa hivyo ungerusha ngumi. Tuache kutetea ujinga.
Me siwez tetea upuuz, kazingua big time na aambiwe ukweli wanafanya character assassination kwa watu wakifanyiwa wao inaonekana mbayaaKuna jamaa hapo juu Bonge Kama Shilole na anamtetea Shilole, nimemuuliza yeye akiambiwa hivyo atafurahia?. Maana usifurahie mwenzako kuaibishwa wakati wewe ungeambiwa hivyo ungerusha ngumi. Tuache kutetea ujinga.
We ndo msafiNani kakwambia Shilole msafi? Usichokijua kiache hivyo hivyo, mambo mengine hayaandikiki
Sinnimemwona akimwambia kwa video au nisemeje mzee ? Hajasema ? Au unazungumzia nini ? Yan ulitaka niwepo pale ndio nithibitishe kasema ? Nimemwona anasema na wamemcheka, was that part of the plan ? Kwenda kumsema alafu kina Joachim kucheka ?Hakuna alichokosea nimekuuliza wewe ulikuepo pale kwenye eneo la tukio ukathibitisha kwamba kweli Shilole amesema yule binti anatoa harufu ya kwapa je ni kweli ulithibitisha kua ni kweli anatoa harufu na je km ni kweli is it bad kumwambia mtu ukweli? Ulichotaka awe mnafiki? Yes of course kwa wengi watasema pale kwenye camera sababu ya audience mtasema she is wrong lakini yeye ile ni part yake she is playing her role asee she is an actress you see comedian too sasa je nikikwambia alikua ana-make jokes with her will you still be mad?
Character assassination like how ?) ExplainMe siwez tetea upuuz, kazingua big time na aambiwe ukweli wanafanya character assassination kwa watu wakifanyiwa wao inaonekana mbayaa
Hahaha bro what I mean ni kwamba una-blame kitu ambacho haujathibitisha 😆Sinnimemwona akimwambia kwa video au nisemeje mzee ? Hajasema ? Au unazungumzia nini ? Yan ulitaka niwepo pale ndio nithibitishe kasema ? Nimemwona anasema na wamemcheka, was that part of the plan ? Kwenda kumsema alafu kina Joachim kucheka ?
Punguza lugha chafu Mzee, umesababisha tumeziba puaMwenye full story ya Shilole aka shit hole afungue uzi wake wa kukitegemea. Nimeanza kumchukia kwa uzalilishaji. Inafaa kumuanzishia hashtag aondoke bongo star search
Amepata...This is crazy, sijapenda kwa kweli, Shilole, Shilole, Shilole, jitafakari.😡
Ulikua nae wakati huo na wewe ukakuamo au ndio nilikua kijiweni nikasikia masela wangu wakisema, ninavyojua alibakwa Ila hayo mengine uzushi wa dunia, punguzeni ujingaAlikuwa mtungooo
Ova
Pambana Mzee, acha kukaa unasema wanawake mitandaoni utaolewa oohoAmepata...
Matako yanalia Mbwata.....
Kmmke zake.
Ameniudhi mnoo ..
Wewe huangalii Ila wanao wanaangalia au huna watoto huna familia hujui kulipia kingambuzi? Maana ukilipia hizo ndio channel zao sinema zetu na series na mwingine ole wako ubadirishe channelDuh hivi mtu unakaa na kuangalia hiko kipindi
Ova