Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili lilishazungumziwa tayari na limekwishajibiwa tayari, Ila bado mnauliza na mnashangazwa yupo pale sio tu km jaji au Msanii au muimbaji au Mchekeshaji n so forth Ila pia ni km influencer kwenye masuala mazima ya ujasiriamali muwe mnafuatilia basi wanapotoa majibu ya maswali yenu
hii kauli japo inaonekana ni nyepesi lakini ilibeba maumivu makubwa sana ya yule dada.VUMILIA! NI YA KIDUNIA
Mi nilishaacha kufatilia hicho kipindi.hv bado kipoSifa za kipumbavu kupitia utu wa mtu mwingine. Dada mpaka anatia huruma kwa alivyoaibishwa.
Dkt. Gwajima D na hili pia linamahusiano na udhalilishaji wa kijinsia tafadhali lipitie pia. Nahisi lina uzito kuliko hata watoto kucheza harmlessly na walimu wao.Waziri anaruka na wale waalim kisa watoto wameimba wimbo uliopewa baraka zote na basata,
Hawaoni udhalilishaji huu?
Madame dorothy yupo huku huku, hebu muiteni
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rommy naona unatetea ugali wako kwa shishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kumnanga ni kumshauriThis is too much, kweli anadhalilisha mtu hivyo live, kwanini wasisubiri kamera zizimwe ndio wakamnange kwa umasikini na uchafu wake?
Akina Master J na Salama walishtukia upumbavu aliofanya huyo Shilole, wakawahi chap chap kumfariji...Ila naona majaji walienda kumfariji huyo mdada. Shame on you Shilole
Mwaka Jana Salama alimjibu mkaka fulaan hivi, hadi nlitokwa na machozi wallah.Cabinet yote haina sifa ya kuwa Majaji, ni lazima wafanye vile. Kumbuka hata majibu ya Master J kwa Hamonize miaka hiyo.
Hao ndo Majaji wa Tanzania.
Yaan Shilole awe mbunge V/maalumu? NgachokaaaNa bado atakuwa mbunge viti maalum kupitia SSM
Wewe kuna kitu kichwani kwako hakijakaa sawa,Majibu yako yameendelea kuifanya hiyo show kuwa kituko. Mashindano ya kusaka vipaji vya uimbaji yanahitaji majaji wenye kuufahamu muziki. Kwahiyo sasa Shilole anapima nani anafaa kuwa mjasiriamali au?