Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Baada ya kumcheka kwanza.

At least Master J alionyesha utu lakini athari ilishatokea.

Kati ya wote pale, Shilole ndio anapaswa kujua hasa maana ya kunuka jasho sababu ya dhiki maana kakulia kwenye ufukara, lakini yeye ndie amekuwa wakumdhalilisha mwanamke mwenzie.

Nimemchukia na kumdharau Shilole kwa hili.
Ebwana hakuna ambae hana jasho hata wewe km kinatema unaambiwa tu hata mbele ya Camera next time utajirekebisha it doesn't matter umeambiwa wapi, sijaona kosa hapo kitu kidogo mnakikuza sana
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Istoshe Shilole mwenyewe anaweza kuwa ananuka viungo vya mwilini mwake ila Watu waliyepita naye walimstiri tu kibishibishi ilimradi mwanaharamu apite [emoji35]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ebwana hakuna ambae hana jasho hata wewe km kinatema unaambiwa tu hata mbele ya Camera next time utajirekebisha it doesn't matter umeambiwa wapi, sijaona kosa hapo kitu kidogo mnakikuza sana
Kuna kitu kinaitwa staha, ipo njia ya kumwambia bila kuathiri utu ama heshima yake.

Ingemgharimu kiasi gani huyo Shilole kumwambia yule dada off camera??
 
Kuna kitu kinaitwa staha, ipo njia ya kumwambia bila kuathiri utu ama heshima yake.

Ingemgharimu kiasi gani huyo Shilole kumwambia yule dada off camera??
Hivi wewe unaweza ku-fake Jambo la kweli ukalifanya kua sio la kweli? Km wewe unaweza sio kila mtu anaweza some people's are real they ain't that fake, usifie ananukia wakati kikwapa kinanuka like seriously?
 
Back
Top Bottom