cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hiyo mbaya sana.. yeye mwenyewe hawezi kufuta historia yake kamwe.. ana tatizo bado Shilole awaone wataalamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iko vagarantSwali la Msingi, Je Shilole anastahili kuwa judge?
Ana vigezo gani vya kuwa judge?
Majudge wengi wa Tanzania katika music ni wa hovyo tu...sijui hata wanakuaje majaji
Tatizo lipi hilo najuwa we kiwanda cha dataHiyo mbaya sana.. yeye mwenyewe hawezi kufuta historia yake kamwe.. ana tatizo bado Shilole awaone wataalamu
Punguzeni basi hizo bullying wazee kwani na nyinyi hamuendi chooni hamnyi hamtawazi? We Coco huendi chooni?Hiyo mbaya sana.. yeye mwenyewe hawezi kufuta historia yake kamwe.. ana tatizo bado Shilole awaone wataalamu
Tatizo lipi hilo najuwa we kiwanda cha data
Ova
Kuna basata basi? Ni hayawani fulani waliopewa ofisi ya kukusanyia rushwa kwa manufaa ya familia zao.Basata wako usingizini wanakoroma.!
Ahh basi nshakusoma [emoji1]Mmmmmh ya historia yake na anayofanya.. hata nje ya boksi umeshindwa kujua.. mmmmmh
Halafu data hizo unazijua wewe.. kwangu ni zipi unadai [emoji847]
Baada ya kumcheka kwanza.
At least Master J alionyesha utu lakini athari ilishatokea.
Kati ya wote pale, Shilole ndio anapaswa kujua hasa maana ya kunuka jasho sababu ya dhiki maana kakulia kwenye ufukara, lakini yeye ndie amekuwa wakumdhalilisha mwanamke mwenzie.
Nimemchukia na kumdharau Shilole kwa hili.
Wanaboa sana hao mfyuuuWana usengeusenge sana mxxiu!
Wanazidi tu kutengeneza kizaZi cha ajabu,mashg wasagj tuKuna basata basi? Ni hayawani fulani waliopewa ofisi ya kukusanyia rushwa kwa manufaa ya familia zao.
Wanaruhusu nyimbo zenye matusi kuruka kwenye media halafu wenyewe pia wanashangaa.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Stop bragging mnaboa kinoma, hizi bullying zinakupa shillings ngap yeye anaingiza Pesa punguza ujinga
Tupe data zake,yeye Kama kamdhalilisha mwenzie ivyo kwann yakwakwe yasisemwe piaNani kakwambia Shilole msafi? Usichokijua kiache hivyo hivyo, mambo mengine hayaandikiki
Sio kwa kudharirisha nyinyi ndio mnakuza MamboAnaingiza pesa kwa kudharilisha watu?. Hiyo itakuwa pesa haramu.
Swali la Msingi, Je Shilole anastahili kuwa judge?
Ana vigezo gani vya kuwa judge?
Majudge wengi wa Tanzania katika music ni wa hovyo tu...sijui hata wanakuaje majaji
Hawajamuweka sababu ya mziki wamemuweka sababu ya KIPAJI kujitoa na kuhamasisha wengine wafanye km yeye watoke huko mafichoni waonyeshe walichonacho mbele ya Camera hata kwapa linalotema cheche show us what you gat,
Mambo ya wasanii ni Hekaheka sio ndogo!Wanaboa sana hao mfyuuu
Ila ulistahiri wewe kua Jaji? Hilo Madam Ritha alishalizungumzia Clouds kipindi cha Leo Tena, people are talking Shilole hivi Shilole vile Mimi sioni kibaya yeye kua Jaji, as long as anafuata JD yake inavyosemaHastaili kuwa Jaji. Yule madam Ritha ataharibu hicho kipindi.