Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wao watoto wao wana mapaspoti ya ughaibuni?Ushamba wa viongozi ndio tatizo
Hii ndio tunaita ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini,sasa huyu mzungu uchwara kaingia hadi chumbani, yeye si Mtanzania inakuwaje azungumzia mambo nyeti.Kulingana na hoja za Bongo Zozo raia wa Tanzania waliopo ughaibuni wananyimwa fursa ya kuendeleza nchi yao. Aidha Tanzania inakosa fursa ya kupata huduma kutoka kwao
Tuna Jambo la kujadili ili tupate muafaka!
View attachment 2606631
Ni kweli si Mtanzania lakini ameoa Mtanzania na watoto wake wamezaliwa Tanzania, hivyo yuko njia panda watoto wachukue uraia wa Tanzania au la baada ya kutimiza miaka 18.Hii ndio tunaita ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini,sasa huyu mzungu uchwara kaingia hadi chumbani, yeye si Mtanzania inakuwaje azungumzia mambo nyeti.
Ushamba wa viongozi ndio tatizo
UingerezaBongo zozo ni raia wa wapi?
Kwahiyo raia wa uingereza amekuwa msemaji wa raia wa nchi nyingine?Uingereza
Kunya, jichambe. Vaa chupi nenda kafungue kibanda chako cha tigpesaKwahiyo raia wa uingereza amekuwa msemaji wa raia wa nchi nyingine?