Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

Msikilize huyu punguwani anadai Tz ni nchi Tajiri ndio maana hawataki uraia pacha
 

Attachments

  • VID-20230504-WA0001.mp4
    34.4 MB
Uraia pacha hauna madhara yoyote.
Unawaza Watanzania waliopo ughaibuni wanaotamani kuwa watanzania na wamarekani lakini huwazi warundi na wabembe wanaotamani hata Leo Uraia pacha uruhusiwe wajazane Kigoma au Wamakonde waliopo Mozambique wanaotamani kuvamia Mtwara kwa kigezo cha Uraia pacha


Uraia pacha ni issue ya pande mbili sio nyinyi tu na wao pia watavamia Nchi hasa hawa Wahindi na kukwapua Ardhi yote halafu mje na hoja Wanyonge wananyimwa fursa
 
Hivi ina maana kenya, ghana, bostwana, uk na spain hawaoni hayo madhara ya uraia pacha? Mpaka wakaruhusu?
fursa ya Wanyonge wa Nchi hizo kumiliki Ardhi ipo sawa na hapa kwetu ?
 
Kosa moja kubwa nchi za kiafrika zimefanya ni huo Uraia pacha.Pamoja na faida zake lakini hasara kwa upande wa security ni kubwa sana.Waafrica wachache wenye uchungu na nchi zao ni Hilo limekuwa ndio uchochoro wa kutengeneza extremist groups.Wafadhiri wa Alshabab ni wasomali wanaingia na kutoka bila kuhojiwa.Same to west Africa.Tutengeneze kwanza monitoring system kabla ya kuruhusu dual citizenship.
 
fursa ya Wanyonge wa Nchi hizo kumiliki Ardhi ipo sawa na hapa kwetu ?
Tanzania ardhi imejaa tele hta hao diaspora wakija hawawezi kuimaliza sana sana watawekeza kwenye prime areas pekee yake

Kwa io wewe unataka kununua ardhi nje ya miji huko usiwe na wasiwasi hazitopanda bei kuwa mpole
 
Back
Top Bottom