Anasemea watoto wake ambao walizaliwa TzKwahiyo raia wa uingereza amekuwa msemaji wa raia wa nchi nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasemea watoto wake ambao walizaliwa TzKwahiyo raia wa uingereza amekuwa msemaji wa raia wa nchi nyingine?
Sio lazima waukane...kama wanapenda Tanzania wabaki na uraia wao na huko Uingereza watapewa permanent resident permit ambayo watapata almost similar treatment kama za raia wa UK Except passportsAna watoto ambao wamezaliwa Tz, wanafikisha miaka kumi na nane ghafla wanatakiwa kukana uraia wao! Usiangalie nani kasema, angalia Nini kasema! Halafu Tz sio kwamba ndio Ina vitu vya maaaaaaaaana kuliko nchi zilizoruhusu uraia pacha
Hofu ya uraia pacha ni Nini?Sio lazima waukane...kama wanapenda Tanzania wabaki na uraia wao na huko Uingereza watapewa permanent resident permit ambayo watapata almost similar treatment kama za raia wa UK Except passports
Chachu ya ujamaa kutojiamimiHofu ya uraia pacha ni Nini?
Faida ni nini!?Hofu ya uraia pacha ni Nini?
Anza kutoboa sehemu ya kupitisha mkia maana hiyo fursa inajadiriwaHiyo hoja ikikubaliwa mniite mbwa, niko nyuma ya keyboard nimekaa.
Ona huyu.Hii ndio tunaita ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini,sasa huyu mzungu uchwara kaingia hadi chumbani, yeye si Mtanzania inakuwaje azungumzia mambo nyeti.
Nimegoma kuukana utanzania kwa zaidi ya miaka kumi nikisubiri uraia pacha sasa natoa mwaka mmoja nije kukabidhi uraia wenu. Utanzania una gharama kubwa aisee ndo maana hata mabeberu wakihitaji nguvu kazi wanachota nigeria na kenya. Sijui tunakwama wapiUrai pacha ni muhimu kwa maendeleo ya taifa, kwani kuna watanzania kibao wapo nje wanatamani kuleta uwekezaji Tanzania wanashindwa kwa sababu ya gharama za kuja kama wawekezaji bado masuala ya ununuzi wa ardhi
Nyie ndio wale mliochelewesha uhuru eti tusipewe uhuru hadi wote tulielimike. Hopeless.Hatutaki uraia pacha hadi uwe accessible kwa wote. Tunataka Muuza vitumbua aweze kupata uraia pacha kama ambavyo anaweza kuupata mtu kama MO. Hapo ndiyo tutakubali.
Umemsikia lakini ? Passport ni moja ya checklist zake muhimu. I.have done the same na ushauri wako si regret .Sio lazima waukane...kama wanapenda Tanzania wabaki na uraia wao na huko Uingereza watapewa permanent resident permit ambayo watapata almost similar treatment kama za raia wa UK Except passports
Kuna kizazi chenye vimelea sugu hakipotei aisee unakuta kitukuu kinafanana copyright na vibabu.Suala la dunia kubadilika mimi sina shida nalo aise. Ila hoja hapa ni uraia pacha na ni kitu ambacho hakijaanza kuongelewa leo au jana.
Hilo suala lilishatolewa hoja mda sana na tena kama lingepita basi ingekuwa ni utawala wa Kikwete.
Kwa sasa tukitaka lipite basi lazima kuna kizazi kipotee kwanza, kije kizazi cha vijana. Tanzania protectionism ni kali sana kuanzia suala la ardhi mpaka uraia.
Na nchi kama US sasa hivi wanafuatilia sana transactions za watu wanaofanya kazi kule. Kutumatuma hela kiwango kikubwa au mara tatu ndani ya mwezi lazima account yako waiminye na kukutaka ujielezee.Urai pacha ni muhimu kwa maendeleo ya taifa, kwani kuna watanzania kibao wapo nje wanatamani kuleta uwekezaji Tanzania wanashindwa kwa sababu ya gharama za kuja kama wawekezaji bado masuala ya ununuzi wa ardhi
haupo kweny field inayoguswa na hilo swala ndio maana ngumu kuelewaHii ndio tunaita ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini,sasa huyu mzungu uchwara kaingia hadi chumbani, yeye si Mtanzania inakuwaje azungumzia mambo nyeti.
Jamaa nmemuelewa, uraia pacha usiwe kwa watu wa nje lakini uwe ni kwa ajili ya haya makundi mawili ya watanzaniaKulingana na hoja za Bongo Zozo raia wa Tanzania waliopo ughaibuni wananyimwa fursa ya kuendeleza nchi yao. Aidha Tanzania inakosa fursa ya kupata huduma kutoka kwao
Tuna Jambo la kujadili ili tupate muafaka!
View attachment 2606631
Urai pacha ni muhimu kwa maendeleo ya taifa, kwani kuna watanzania kibao wapo nje wanatamani kuleta uwekezaji Tanzania wanashindwa kwa sababu ya gharama za kuja kama wawekezaji bado masuala ya ununuzi wa ardhi
Bongo Zozo hajawahi kuwa raia wa Tanzania, yeye ni Mwingereza tangu azaliwe!Tatizo wanaolilia uraia pacha si watanzania tena. Ni kama bongo zozo, na wengine ambao walishaukana uraia wa Tanzania hali wakijua tz kwa sasa hairuhusu uraia pacha. Wameshakuwa foreigners hawawezi wakatuamulia wala kutusemea mambo ya ndani ya nchi yetu. Waheshimu sheria za kimataifa.
Walipaswa wapiganie uraia pacha wakiwa bado ni watanzania, ndipo sauti zao zingesikika.
Na nchi kama US sasa hivi wanafuatilia sana transactions za watu wanaofanya kazi kuke. Kutumatuma hela kiwango kikubwa au mara tatu lazima account yako waiminye.
Hapo ndiyo mtaona watu wanakubali yaishe kwa kuamua kutotuma hela kuliko habari za kuonywa onywa
kwani nimesema ni mtanzania au aliwahi kuwa mtazania?Bongo Zozo hajawahi kuwa raia wa Tanzania, yeye ni Mwingereza tangu azaliwe!