Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Sijakuelewa.Kunya, jichambe. Vaa chupi nenda kafungue kibanda chako cha tigpesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa.Kunya, jichambe. Vaa chupi nenda kafungue kibanda chako cha tigpesa
CCM ni waoga wa kila kitu.Hiyo hoja ikikubaliwa mniite mbwa, niko nyuma ya keyboard nimekaa.
Tema mate chini usikalili dunia inabadilika usipobadilka itakubadilisha.Hiyo hoja ikikubaliwa mniite mbwa, niko nyuma ya keyboard nimekaa.
Vijana hawafai ni wezi sana. Mfano Awesu na Biteku washaiba na kujitajitisha sanaUwepo wa viongozi wazee wengi serikalini unachangia kupuuzia hii hoja.Rais teua vijana mazee hayo yana mawazo mufilisi hayajui hata tiktok wala instagram hayapo modern
Suala la dunia kubadilika mimi sina shida nalo aise. Ila hoja hapa ni uraia pacha na ni kitu ambacho hakijaanza kuongelewa leo au jana.Tema mate chini usikalili dunia inabadilika usipobadilka itakubadilisha.
Kwa asili ya binadamu Hana mpaka Hilo ni suala la uitawala sio asili ya binadamu.
Ndiyo maana utakuta watu walitoka sehemu tofauti tofauti
Hiyo hoja labda kuanzia 2040 ndio itaweza jadilika ila kwa sasa sijui na wakisema waikubali jua wako likely kuweka limit katika kujihusisha na siasaCCM ni waoga wa kila kitu.
Hata kitoto kidogo kikiongea kitu, ambacho hawakipendi utaanza kuona nkimepelekewa mavifaru ya Jeshi.
Huu uoga wa CCM ndio unapeleka wanaogopa KILA KITU, KILA MTU na wana tahadhari muda wote.
Kinachokwamisha hili suala ni uoga tu.
Wamesha sema Wana mpango wa kuwapa hadhi Maalum.Hiyo hoja labda kuanzia 2040 ndio itaweza jadilika ila kwa sasa sijui na wakisema waikubali jua wako likely kuweka limit katika kujihusisha na siasa
Hii naona ilinipita. Asante kwa kunifunua ubongo. Ngoja nifuatilieWamesha sema Wana mpango wa kuwapa hadhi Maalum.
Tafsiri yake ni kuwaweka kwenye CAGE ili wawe na uwezo wa kuwadhibiti au kuwavua hiyo hadhi wakikataa mambo yao
Aende akatoe hoja yake huko Uingereza. Bado tunakumbuka jinsi walivyowatesa mababu zetu.Amejieleza kwa nini ametoa hoja hiyo, nini hujaelewa?
[emoji23][emoji23][emoji23] yupo sahihi! Ana kazi sana moyoni mwake ni mtanzani! Ila Utanzania haumtakiBongo Zozo [emoji3316]anakuambia mabeberu sio watu zuri wanaiba watu wenu [emoji1]
Ana watoto ambao wamezaliwa Tz, wanafikisha miaka kumi na nane ghafla wanatakiwa kukana uraia wao! Usiangalie nani kasema, angalia Nini kasema! Halafu Tz sio kwamba ndio Ina vitu vya maaaaaaaaana kuliko nchi zilizoruhusu uraia pachaHii ndio tunaita ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini,sasa huyu mzungu uchwara kaingia hadi chumbani, yeye si Mtanzania inakuwaje azungumzia mambo nyeti.
Tatizo wanaolilia uraia pacha si watanzania tena. Ni kama bongo zozo, na wengine ambao walishaukana uraia wa Tanzania hali wakijua tz kwa sasa hairuhusu uraia pacha. Wameshakuwa foreigners hawawezi wakatuamulia wala kutusemea mambo ya ndani ya nchi yetu. Waheshimu sheria za kimataifa.Kulingana na hoja za Bongo Zozo raia wa Tanzania waliopo ughaibuni wananyimwa fursa ya kuendeleza nchi yao. Aidha Tanzania inakosa fursa ya kupata huduma kutoka kwao
Tuna Jambo la kujadili ili tupate muafaka!
View attachment 2606631
Wameshindwa kutatua uchafu wa jiji na mifereji kuziba wataweza kujua diaspora mchango wao?Uwepo wa viongozi wazee wengi serikalini unachangia kupuuzia hii hoja.Rais teua vijana mazee hayo yana mawazo mufilisi hayajui hata tiktok wala instagram hayapo modern
Kwahiyo uzalendo ni Nini?uzalendo si tu kuimba wimbo wa taifa na kushabikia watanzania kwenye michezo pekee..