ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio maneno ni zaidi ya upanga.Kila siku nitasema, serikali isipoteze pesankwa ajili ya hawa vijana, they don't have government even they don't have money.
Hivi polisi inawaza kuwa maneno tu, yataipindua nchi?
sasa wewe andamana wakati unaishi kwenye choo chenye sehemu ya kulalaUle Mjengo Unyama ni Mwingi sana.
Ana haki zake pia hata kama wamemtuhumu. The good thing ni kwamba sakata lake linamulikwa na macho mapana na lazima Haki itendeke. Nilitamani nione Police wakielekeza nguvu na resources zao zote katika kutafuta wauaji na watekaji, ambalo ndilo suala linaloigombanisha na Serikali. Kutunishaniana misuli na raia wema na wapinzani wako wa Kisiasa, haina maana yoyoteSafi sana , wakutane mahakamani atatoa maelezo vizuri.
Lakini pia na wewe endelea kuwa Chawa wa wale wanaoishi kama Miungu watu wakati wewe huna uhakika wa mlo wako wa mchanasasa wewe andamana wakati unaishi kwenye choo chenye sehemu ya kulala
Mnyika sina ujakika hata kama JKT alipitia angalau hata mwezi mmoja. Bora ya akina Mdee, Esther na akina Zitto , wao baada ya kuwa walikosa hiyo fursa wakati wakitoka mashuleni, wao baada ya kuwa Wabunge waliomba kwenda Ruvu JKT kupiga kwata la miezi mitatu. Ndo huo ushupavu wa dada majembe tunaouona mpaka leo kwa hawa vijana. Mnyika should have done the same kama alikosa hiyo fursa, au hata angecheza Mgambo akawa MG . Uuoga wa hadi Panya kama alivyodhihakiwa ni too much kwa kijana na kiongozi wa vuguvugu la mabadiliko kama yeye. Kule kuna shughuli pevu ati.Boni yai atakua yai kweli kweli,bado tar 23 kuna wengine wataungana.
Bora hata Mnyika anaogopa hadi Panya.
Unacho hangaika ni nini sasa kakamatwa mind your businesshakuna habari ya kudhani katika masuala ya kiusalama..
ikiwa wewe ni suspect of crime, utakamatwa na utakwenda korokoroni bila kujali ni mara ya yako ya 30 au 40 kulala kororoni...
hiyo lazima ieleweke hivyo gentleman 🐒
Chawa kazini!Hakuna polisi mwenye nyumba kama ile, kuanzia IGP hadi konstebo.
Jkt imekusaidia nini kumzidi Mnyika asiyepitia jktMnyika sina ujakika hata kama JKT alipitia angalau hata mwezi mmoja. Bora ya akina Mdee, Esther na akina Zitto , wao baada ya kuwa walikosa hiyo fursa wakati wakitoka mashuleni, wao baada ya kuwa Wabunge waliomba kwenda Ruvu JKT kupiga kwata la miezi mitatu. Ndo huo ushupavu wa dada majembe tunaouona mpaka leo kwa hawa vijana. Mnyika should have done the same kama alikosa hiyo fursa, au hata angecheza Mgambo akawa MG . Uuoga wa hadi Panya kama alivyodhihakiwa ni too much kwa kijana na kiongozi wa vuguvugu la mabadiliko kama yeye. Kule kuna shughuli pevu ati.
Huachi utani bana. Trafiki tu ananyumba 6 kuliko zileHakuna polisi mwenye nyumba kama ile, kuanzia IGP hadi konstebo.
Huku kunaitwa kujitambuaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.
Soma Pia
- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Polisi wabadili na kudhiti madawa ya kulevya wana mijengo zaidi ya hiyoHakuna polisi mwenye nyumba kama ile, kuanzia IGP hadi konstebo.
Why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?
sasa wewe andamana wakati unaishi kwenye choo chenye sehemu ya kulala
Hapo sasa Chadema wale wajinga wapenda kuandamana kishari pesa hawana wajifunzeHivi unaweza kukuta walioenda kumpekua wengi wamepanga na hawana mansion kama lile,