Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Butimba TTC

Kuna wakati mama Gaudensia Kabaka Mwenyekiti mstaafu wa UWT alikuwa mkuu wa Chuo pale

Private Candidate hufanya Mitihani popote pale usiteseke sana Boniyai 😂
Hakukuwa na kituo pale cha PC jaribu kufatilia
 
Bumunda ana elimu ya hapa na pale tu kama mzee wa shanga Kubenea
 
Wewe upo ktk karakana ya ibilisi ambayo sabaya alisema anawafahamu wanaofanya kazi humo? Inaondkana unafurahia wenzako wakiuwawa
Chokochoko za nini sasa? Mnyika mwenyewe hakumaliza chuo. Mbona hamsemi hilo?
 
Ushafika Butimba ama unasimuliwa?
Kuna secondary ipo ndani ya BUtimba TTC, sijui jina inaitwa, nadhani ni hilo ulilolitaja hapo.....,Achana na kuteseka na Ma-CCM elimu zao za kuunga unga hivyo....,Mingine mpaka in Zero
 
Eti Nape ni Waziri wa ICT,ila JK ifike mahali awe anamuogopa Mungu,kama wanawapenda sana Watoto wao basi wawafungulie Makampuni wajiajiri na siyo kutumia ofisi za serikali kama kichaka cha kuhifadhi vilaza!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Umeanza Kuleta Mafumbo Sasa Yaani 2025 Chama Chetu Kwamba Hakina Mtu
Mkuu, wapo wengi tu! Hata huyu anaelalamikiwa kwenye uzi huu, anazidi kujiimarisha kwa kupata VYETI, bila kujali ni kwa njia gani!
Na matokeo yake, ni kama tulivyomsikia majibu yake alivyoulizwa na BBC kuhusu Makamu wa Rais Mpango. Anaulizwa hivi, yeye anajibu vile. Hii yote ni kutokana na kupata vyeti bila KUSOMA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…