Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Hawa wanasiasa wa CCM, ni nani anafanya vizuri katika siasa? Goli la mkono ndiko kufanya vizuri katika siasa.

Tunaongozwa na failures na majizi ndiyo maana nchi haiendi popote.
Kama ni rahisi na wewe funga Goli la mkono πŸ˜„
 
Butimba TTC

Kuna wakati mama Gaudensia Kabaka Mwenyekiti mstaafu wa UWT alikuwa mkuu wa Chuo pale

Private Candidate hufanya Mitihani popote pale usiteseke sana Boniyai [emoji23]
Sasa na wewe unapocomenti uwe na uhakika kama alifanya kama Private Candidate au School Candidate na kama ni Private Candidate je Butimba imesajiliwa na NECTA kama PC Centre? Yaani uwe na jibu linaloeleweka kama huna katafiti kwanza mkuu
 



Nashauri
Ya kwanza iungwe isome moja kwa moja kwenye mifumo ya TCU
Ya pili isome kwenye mifumo ya NACTE
Ya tatu isome kweny system za NECTA
 
Tatizo chadema ni wajinga sana. PC wamefanya pale mitihani, kuna kituo cha mitihani. Wakati tunasoma pale chuo na Mh Waziri Mkuu Majaliwa, wapo watu walikuwa wanafanya mitihani pale ya ACSEE. Aache ujinga, huo muda akafanye mazoezi apungue.
 
Maisha ya hapa duniani hayana kanuni unakuta MTU mwenye CV kubwa yupo mtaani ni bodaboda na kilaza yupo kwenye V8 anakula maisha.
Sometimes hakuna haja ya kuumiza Sana kichwa juu ya maisha ya wengine
 
Sasa na wewe unapocomenti uwe na uhakika kama alifanya kama Private Candidate au School Candidate na kama ni Private Candidate je Butimba imesajiliwa na NECTA kama PC Centre? Yaani uwe na jibu linaloeleweka kama huna katafiti kwanza mkuu
Boniyai ndio amfanyie Utafiti

Very simple πŸ˜‚
 
Sifa ya mgombea uraisi kuwa na degree ipo kwenye latina au kitu gani? Ni sheria gani hiyo inayomtaka mgombea uraisi awe na degree?
 
Tatizo chadema ni wajinga sana. PC wamefanya pale mitihani, kuna kituo cha mitihani. Wakati tunasoma pale chuo na Mh Waziri Mkuu Majaliwa, wapo watu walikuwa wanafanya mitihani pale ya ACSEE. Aache ujinga, huo muda akafanye mazoezi apungue.
Mkuu hebu acha uongo bhna nimefanya kazi maeneo hayo ya Butimba Miaka hiyo Nape anayosema kulikuwa na Secondary..Kiukweli ilikuwepo Shule ya Msingi Butimba ambayo ilikuwa ikitumika kama shule ya mazoezi ya Walimu..

Secondary imeanzishwa mwaka 2000 ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…