Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Baadaye Atakimbilia TCRA Na Ile Sheria Yake Ya Mtandao
Atasema Mnatenda Makosa Matupu
 
wana si hasa Bwana!
kwani dunia hii imeubwa wewe lazima upate kila kitu? ifike wakati wakubali shule hawaiwezi yaishe vinginevyo watajiona wamevaa nguo huku wakijua sisi tnawaona wakiwa uchi lakini vinywa vyetu hazitapiga kelele lakini nafsi zetu zitawadharau kila siku na kuwaona waarifu tu kama waarifu wengine na kamwe Amani haitatawala ndani mwao!
 
Tuko na Nappe na Jacob hao wengine aachana nao tunajua wako wengi ila kwa leo hawana nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…