Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Jina: Faustine Jackson Mafwele
Umri: miaka 47
Kabila : Mkerewe
Dini: Mkristo
Makazi : Mikocheni
Kazi: Afisa mwandamizi wa polisi
Cheo: Kamishina Msaidizi wa Polisi
Madaraka: Zonal Crime Officer
Tuhuma: Kuendesha genge la uhalifu dhidi ya binadamu.
Mawasiliano: +255 755 855 743
+255 787 922 913

1. ACP Faustine Mafwele kwa mara ya kwanza amethibitishwa hadharani na kutambuliwa na Edger Edson Mwakabela (Sativa) kama afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye alitoa amri ya kubebwa kwake kisha kusafirishwa kwenda Arusha na katavi kupigwa risasi ya kichwa kabla ya kunusurika kuuawa.

2. ACP Faustine Mafwele amewahi kuwa OC-CID mwaka 2011-2015 wa kituo cha Polisi Arusha na baadae akawa RCO wa Mkoa wa Arusha

Wakati wa mauaji ya wanachama wa CHADEMA maandamano ya Arusha ya 04 January 2011 alikuwa OC-CID.

Wakati huo Faustine Mafwele akiwa na cheo cha ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi

Tarehe 05 January 2012 akiwa Mrakibu Msaidizi wa Polisi Faustine Mafwele alipigwa risasi na Jambazi Jijini Arusha kati ya majibizano ya risasi baina yake na Jeshi la Polisi,hata hivyo askari mmoja wa Jeshi la Polisi aliuawa kwa risasi na Mafwele aliendelea kutibiwa hospitali ya Seriani.

3.Amewahi kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya MKIRU yani Mkuranga, Kibiti, Rufiji.

4.katika kesi za watu wanaolalamika kwangu ndugu zao kutekwa, kupotea au kukutwa wameuwawa asilimia 90 wanamtuhumu ACP Faustine Mafwele kama mtu ambaye ndiyo mtekelezaji wa shughuli hizi mbaya.

5.ACP Faustine Mafwele amekuwa ni Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye hana madaraka makubwa sana ila anaogopwa hadi na viongozi wake wa Jeshi la Polisi kuanzia Kanda Maalum ya Dar es saalam hadi Makao Makuu ya Polisi,Dodoma

6.Kuna hisia ambazo hazijathibitishwa kuwa ni Penetrating Officer (PE) wa Idara ya Usalama wa Taifa ambaye anafanya kazi mbili kwa pamoja kiasi cha Viongozi wa Jeshi la Polisi kumuogopa wakiamini ni Mtu ambaye kazi zake zina baraka ya Idara ya Usalama wa Taifa.

7.Baada ya Kazi Maalum ya MKIRU (Mkuranga, Kibiti Rufiji) kumalizika akiwa kama Crime zonal Officer (ZCO) alihamishiwa kwenda Kuwa RCO wa Mkoa wa Mwanza

Huko Dunia ilianza kufahamu ukatili wa ACP Faustine Mafwele baada ya 2021 Mzee William Sije kulalamika kuwa RCO Mafwele wa Mkoa wa Mwanza amemuua Mtoto wake James William Sije.

8.IGP Simmon Sirro alimuhamishia Mkoa wa Dar es Salaam kuja kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya Dar es saalam 06 April 2022 kwa kazi maalum dhidi ya Panya road na ujambazi wa kutumia Silaha.

9.Misheni na siri nyingi anazozijua ndiyo chanzo cha Viongozi wa Serikali ya CCM kumuogopa na kumlinda wakiamini anaweza kwenda kusema mambo mabaya zaidi anayoyajua.

Kupitia hoja hiyo, ACP Faustine Mafwele amelalamikiwa mara nyingi sana lakini Viongozi wizarani na serikalini wanamuogopa sana kuchukua hatua.

10. Mafwele pia anatuhumiwa na familia nyingi kama mtu ambaye ameshiriki mauaji kwa moja katika kuwapoteza ndugu wa baadhi ya familia zao
kupotea kwa

1.Mfanyabiashara Musa Mziba
2.Kupotea kwa Deo Mugasa
3.Kupotea kwa Adinani Hussein Mbezi
4.Kupotea kwa Vijana watano wa Aggrey
5.kutekwa na Kupigwa risasi kwa Edger Edson Mwakabela.
6.Faustine Mafwele na genge lake tarehe 22 August 2024 alituhumiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuhusika kwake ktk Kupotea kwa Kina Godwin Mlay,Deusdedith Soka na Frank Mbise

11.Katika kuonyesha jeuri na kuogopewa na wenzake ACP Faustine Mafwele amejipa ukiranja wa kuwa mwenyekiti wa Ma-RCO wa Jeshi la Polisi Tanzania tofauti na utamaduni wa Jeshi la Polisi ulio zoeleka wa Ma-RCO kuwa chini ya usimamizi wa DCI

12.Nimeona niweke kumbukumbu hizi vizuri na wasifu mfupi wa ACP Faustine Mafwele mjue kazi kubwa iliyopo mbele yetu kuhakikisha Faustine Mafwele anafikishwa mbele ya vyombo vya sheria na kujibu tuhuma zake

Bila kelele za kutosha hakuna Jambo litakalotokea kwa sababu nilizozitaja hapo juu

Boniface Jacob
Ex-Mayor Kinondoni & Ubungo
0712 239 595
The voice of the silenced MajorityView attachment 3094374
bro nakuelewa taarifa zako zinatosha kumhukumu
 
Ataendaje underground na ameshaumia sana.

Na Waziri Masauni kasema wenye ushahidi wa kutosha juu ya matukio wapeleke.

Na hii ndio njia sahihi.

Akienda Undergound atapotea tena. Lakini sasa akipotea tutajua nani mhusika na kwanini.
Waziri Masuni kasema wenye ushahidi wa kutosha juu ya matukio wapeleke ati?

Kuna watu wamesomea na wana ubobezi wa kufanya kazi hii.
Akiyetekwa na kunusuruka kuuawa uchunguzi hautofanyika hadi mtu mwenye ushahidi apeleke?

Lisssu alishambuliwa akaambiwa àende akalisaidie jeshi kwenye uchunguzi, mzee huyu aliyetekwa na kuuliwa Masauni anatamani kama askari wake amwambie marehemu aende akasaidie upelelezi, kama wenye dhamana wameshindwa
 
Mbali na copy and paste huwezi kusema chochote mkuu britanicca kuhusiana na huyo mtu ?
Hata mwaka 2017 kwenye kesi ya Bilionea MSUYA shahidu Shaibu Said (Mredii), alidai mahakamani kuwa alipelekwa Kituo cha Polisi kinachoitwa Guantamano, nje kidogo ya Jiji la Arusha na kuteswa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.

Shahidi Mwingine alisema alifungwa tofari sehemu za siri kwa amri ya Mafwele
 
Hata mwaka 2017 kwenye kesi ya Bilionea MSUYA shahidu Shaibu Said (Mredii), alidai mahakamani kuwa alipelekwa Kituo cha Polisi kinachoitwa Guantamano, nje kidogo ya Jiji la Arusha na kuteswa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.

Shahidi Mwingine alisema alifungwa tofari sehemu za siri kwa amri ya Mafwele
Huyo jamaa inaelekea ni katili sana kwenye uhai wa watu
 
Hata mwaka 2017 kwenye kesi ya Bilionea MSUYA shahidu Shaibu Said (Mredii), alidai mahakamani kuwa alipelekwa Kituo cha Polisi kinachoitwa Guantamano, nje kidogo ya Jiji la Arusha na kuteswa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.

Shahidi Mwingine alisema alifungwa tofari sehemu za siri kwa amri ya Mafwele
Hata mwaka 2017 kwenye kesi ya Bilionea MSUYA shahidu Shaibu Said (Mredii), alidai mahakamani kuwa alipelekwa Kituo cha Polisi kinachoitwa Guantamano, nje kidogo ya Jiji la Arusha na kuteswa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.

Shahidi Mwingine alisema alifungwa tofari sehemu za siri kwa amri ya Mafwele
Dah!...Tz pia kuna Guantanamo?
 
Hata mwaka 2017 kwenye kesi ya Bilionea MSUYA shahidu Shaibu Said (Mredii), alidai mahakamani kuwa alipelekwa Kituo cha Polisi kinachoitwa Guantamano, nje kidogo ya Jiji la Arusha na kuteswa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.

Shahidi Mwingine alisema alifungwa tofari sehemu za siri kwa amri ya Mafwele
Mi nahisi hata huyu anayeitwa shetani ni huyu huyu Mafwele sema hatujuagi tu...
 
Duuu huko mbinguni sijui atakuwa na nafasi ipi. Atakuwa ameua watu wengi sana kama hii taarifa ni ya ukweli.
Unaongelea mbinguni..muulize watoto na ndugu zake wako salama vipi kwa kazi hizi anazofanya? Binadamu mwenye akili ya kawaida kabisa ukimtoa Mungu wanaofuatia kwenye umuhimu ni watoto na wazazi..inakuwaje huwezi tambua matendo yako yana direct connection na future ya unaoamini ndio wanakufanya unahangaika wapate maisha mazuri?
 
Kijnaa amekubali kupambna na mtu anaye tuhumiwa kuua na kuteka Watu ajulikanae kama Mafwele, dogo ameamua kumrarua na kumjeuza kama chapati bwana Mafwele, sativa anajuwa na NKutambua kuwa Mafwele ndie aliye mteka na kumuumiza vibaya

Hyo ni email iliyo kwenda chuo anacho soma bint ake faith j mafwele
 
Back
Top Bottom