Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm mwenyew nimeshusha kitu kizito kwa mtot na kwa baba akeKila lakheri kwenye mapambano yao, naona X kumewaka kila mtu anamtumia message binti wa Mafwele kuhusu mauaji ya baba yake.
Huyu mtoto ana kosa gani Sasa ?Mm mwenyew nimeshusha kitu kizito kwa mtot na kwa baba ake
Mafwele himself checks in.It’s all fun and games until…
Niko huko nimetulia nimechungulia huku hkn jipy nikaonq niwaleteee hbrPameanza kuchangamka x wawataje wote.!!
Wanyaki sio waoga waoga
Kmmk baba ake ni muuwaji na mtekaniHuyu mtoto ana kosa gani Sasa ?
Ukikua utajua kwa nini wameamua kumsakama bintiuyo binti anaingiaje hapo kwenye makosa ya baba yake?
Point.Huyu mtoto ana kosa gani Sasa ?
Anaingia vzr sana tu bab ni mtekaji muuajiuyo binti anaingiaje hapo kwenye makosa ya baba yake?
Kama ulivyosema bado hajui adui yakeJamaa kweli kachafukwa eti fire her 😄 kwani ameajiriwa huko shuleni
duh,makosa ya baba na mtoto nae anatuhumiwa!Ana
Anaingia vzr sana tu bab ni mtekaji muuaji
unadhani wazazi na ndugu ya watu waliotekwa wanajisikiaje ......hio ndo gharama anayolipia huyo jamaa hamna kingine kila kitu kina gharama yake haiwezekani uwe unasoma kwa kodi za haohao unaowafanyia unyama alafu mda wa kulipa gharama kuwepo na compromisesuyo binti anaingiaje hapo kwenye makosa ya baba yake?
Kwa hio huyu ndezi ndio anawatesa watu na kuwaua kikatiri?Ana
Anaingia vzr sana tu bab ni mtekaji muuaji