Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Attachments

  • IMG_20240912_222757.jpg
    IMG_20240912_222757.jpg
    13.8 KB · Views: 5
Hili halitaisha salama, yupo atakayeumia tu.

Fikiria kama huyo binti atapata sonona na mfadhaiko kisha akaamua kujiua, ni nani tutamlaumu?.

Mkumbuke pia Cyber bulling ni crime wajuba.
 
uyo binti anaingiaje hapo kwenye makosa ya baba yake?
unadhani wazazi na ndugu ya watu waliotekwa wanajisikiaje ......hio ndo gharama anayolipia huyo jamaa hamna kingine kila kitu kina gharama yake haiwezekani uwe unasoma kwa kodi za haohao unaowafanyia unyama alafu mda wa kulipa gharama kuwepo na compromises
 
Back
Top Bottom