Boniface Mwabukusi aapishwa kuwa Rais wa TLS. Aanza kazi rasmi

Kongole sana wakili msomi Boniface Mwabukusi kwa kuchaguliwa kuwa rais wa TLS kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2024 hadi 2027

Kuchaguliwa kwako wakili Boniface Mwabukusi kunaendana pia na TLS kuwa mdau mkubwa kuwa mtazamaji (observer) wa chaguzi za Serikali za Mitaa na Vijiji 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 ambapo TLS itahakiki mchakato mzima wa chaguzi hizo za kitaifa 2024 / 2025 ziwe huru, za kidemokrasia na haki kwa wote Tanzania .
 
Hongera sana Mwaisa Mwabukusi kwa ushindi huu mnene. Mungu akubariki sana na akuongoze kwenye kazi yako ya kuwatumikia watanzania.
 
Hivi walishabadilisha mda wa kuongoza TLS kutoka mwaka mmoja mpka mitatu?
 
Kwa kuwa ameapishwa yule msukuma wakili Nkuba rufaa yake ya kupinga matokeo itakuwaje sasa?
 
The state imempata mtu wao kwa strong hold aka push ajenda ya katiba mpya ambayo aliepewa jukumu hilo kaweka mpira kwapani kwa kutaka kuchaguliwa tena!

Kudos the state!
 
Kuna mtu saa hizi vitu vinagonga chupi vinarudi ndani maana Watanganyika wachache tu wameonesha mfano huo, je wale wengi nao siku yao ya kufanya maamuzi ikifika itakuwaje? Mungu ibariki Tanganyika.
 
Kula la kheer.. Simamia kwenye haki na maadili. Msimamo wako usiyumbe kama baadhi ya walio pita...
 
The state imempata mtu wao kwa strong hold aka push ajenda ya katiba mpya ambayo aliepewa jukumu hilo kaweka mpira kwapani kwa kutaka kuchaguliwa tena!

Kudos the state!
Well hawajafika mahali, this time wame plan vibaya. Even state makes mistakes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…