Kongole sana wakili msomi Boniface Mwabukusi kwa kuchaguliwa kuwa rais wa TLS kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2024 hadi 2027
Kuchaguliwa kwako wakili Boniface Mwabukusi kunaendana pia na TLS kuwa mdau mkubwa kuwa mtazamaji (observer) wa chaguzi za Serikali za Mitaa na Vijiji 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 ambapo TLS itahakiki mchakato mzima wa chaguzi hizo za kitaifa 2024 / 2025 ziwe huru, za kidemokrasia na haki kwa wote Tanzania .
Kuchaguliwa kwako wakili Boniface Mwabukusi kunaendana pia na TLS kuwa mdau mkubwa kuwa mtazamaji (observer) wa chaguzi za Serikali za Mitaa na Vijiji 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 ambapo TLS itahakiki mchakato mzima wa chaguzi hizo za kitaifa 2024 / 2025 ziwe huru, za kidemokrasia na haki kwa wote Tanzania .