Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
ana umbo zuri sana tunaomba picha yake kutoka maktaba
 
Ana degeree tu tena kasoma chuo cha waungaji ungaji pale Posta cha Learn IT kipo karibia na jengo Rumumba enzi hizo sijui kwa sasa kama kipo hapo au kimehama.. na hana uoefu kabisa na IT unalipamba sana hili jimbo
Labda alisomea mwaka 1995 mpaka 2007 hapo akaenda kupata tu cheti rasmi ila Degree si haba ya Computer science japo mimi sio mjuzi wa mambo hayo au siku hizi yamebadilika degree si kitu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…