Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Usitufanyie hivo bana we tudondoshee mjitabu hapa hela ya nini tena, ahsante kwa jina lake ngoja nikisake.....mwandishi nani??
Kuna mdau anacho kuwa nasoma kwake.......!! Nlishamwambia anipe akasema amekipata kwa gharama sana bila chochote hanipi
 
Kuna mdau anacho kuwa nasoma kwake.......!! Nlishamwambia anipe akasema amekipata kwa gharama sana bila chochote hanipi
Mwandishi ni nani tukipate bure, ndio umesema kinaitwa The gold book??? Kesho nitakipata.

Nitakiweka hapa halafu utamuambia jombaa roho mbaya haijengi😁
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cha Ralph Waldo Emerson kinapatikana?
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
βœ…βœ…βœ…
 
micind,


Mkuu uandishi wa CHINUA ACHEBE uko vzr sn hasa kwenye THINGS FALL APART, huwa na cheka sn.
Binafsi hakuna African literature ilinichekesha kama Song of Lawino and Ocol. Na description iliyonibamba ni ya Beautyful ones are not yet born.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…