Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Wakuu leo nimemaliza kusoma icho kitabu nakiri kimenibadilisha sana, nimekua sina displine ya hela hata kidogo nahisi nimechelewa kukisoma hiki kitabu and I promise from now on am gonna be rich trust me guys. Nimejipa miaka miwili yakuyafanyia kazi yote niliosoma. Sasa hivi nimeanza kusoma kitabu cha “ THINK BIG GROW RICH”.... Stay at home corona inaua.


Sent from iPhone 6s Plus
Safi sana iyo kitu ishanipa mzuka wa kuacha Kaz niingie mtaan kupambana kiume nasubil tu right time ifike tu Safi sana mkuu
 
Cash flow quadrant
Wakuu leo nimemaliza kusoma icho kitabu nakiri kimenibadilisha sana, nimekua sina displine ya hela hata kidogo nahisi nimechelewa kukisoma hiki kitabu and I promise from now on am gonna be rich trust me guys. Nimejipa miaka miwili yakuyafanyia kazi yote niliosoma. Sasa hivi nimeanza kusoma kitabu cha “ THINK BIG GROW RICH”.... Stay at home corona inaua.


Sent from iPhone 6s Plus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekisoma nipo chuo. Nilipomaliza chuo mpaka leo sijafata cheti na sijutii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii post nillisoma kwenye uzi tofauti na huu wangu na uliandika hivi hivi mkuu, nimefurahi pia kuona leo umeandika the same apa, Ubarikiwe sana mkuu umenitia nguvu.


Sent from iPhone 6s Plus
 
Inachukua muda gani kuuona huo ugumu hadi kuzoea ?? Siyo siri natamani sana niwe mpenzi wa kusoma vitabu ila naona uvivu !!
Anza vyepesi kama vya Ben Carson na story zake kama Think Big,Gifted hands,Take the risk etc:

Baada ya hapo najua utavutika tu ndio unakuja kwa James Hadley Chase;Huyu ukishasoma collection yake basi tunakuingiza moja kwa moja kwenye uraibu wa vitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa natumia pdfdrive.net hapo huwa sikosi kitabu sema wadau pia watume app nzuri ya reader na je wanadownload format gani za vitabu Epub au pdf watuambiae hizo readers application wanazotumia, kwangu kwa pc ni adobe na sumatra ila kwa phone pia WPS
Hiyo drive ninayo app yao..ila nilikua napenda anybook ila saiv ni unalipia 23000 badaya ya kua free.
Watuambie kwa kweli, mana kusoma kuna raha yake, unakua mjanja mjanja! Hata maongez tu yanabadilika!
 
Hiyo drive ninayo app yao..ila nilikua napenda anybook ila saiv ni unalipia 23000 badaya ya kua free.
Watuambie kwa kweli, mana kusoma kuna raha yake, unakua mjanja mjanja! Hata maongez tu yanabadilika!


Huo ujanja ujanja mie ndo umenifanya naona njia nyofu nyofu kila ninapogusa...lol..
 
Wakuu leo nimemaliza kusoma icho kitabu nakiri kimenibadilisha sana, nimekua sina displine ya hela hata kidogo nahisi nimechelewa kukisoma hiki kitabu and I promise from now on am gonna be rich trust me guys. Nimejipa miaka miwili yakuyafanyia kazi yote niliosoma. Sasa hivi nimeanza kusoma kitabu cha “ THINK BIG GROW RICH”.... Stay at home corona inaua.


Sent from iPhone 6s Plus
Umejifunza nini kuhusu kuwa mbahili?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom