Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Nenda google mkuu andika PDF drive utasearch kitabu chochote unachotaka mkuu
Kuna ile hali (nguvu na mizuka) inatokea unapomliza kuangalia movie za ngumi unajihisi unaweza ukapiga watu 10 peke yako, nahisi ndo aliyonayo mleta mada
Anza vyepesi kama vya Ben Carson na story zake kama Think Big,Gifted hands,Take the risk etc:
Baada ya hapo najua utavutika tu ndio unakuja kwa James Hadley Chase;Huyu ukishasoma collection yake basi tunakuingiza moja kwa moja kwenye uraibu wa vitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha mama inatosha kumbadilisha mtu kimaisha..Sisi tusio jua Lugha za ughaibuni atuwezi badilika kamwe[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji848][emoji848] hivi kusoma vitabu ni kipaji au uamuzi tu ??
App gani nzuri ya kupakua vitabu mana hii tulioizoea saiv siyo free tena
Sema Soft Copy sio online Kaka [emoji2][emoji2]
Ni tabia, nayo ina uraibu wake
Kama huna mazoea hayo, ukianza mwanzo unaona ni kazi kweli kweli , ila ukizoea utakuwa addicted
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,naomba nitumie kitabu cha Cash Flow Quadrant.Natanguliza shukrani
Bomba kaka. Hapana sina soft copy ake
Ninayo ya hii RICHEST MAN OF BABYLON
Bila kusahau usome na "First thing First" by Stephen CoveyWakuu leo nimemaliza kusoma icho kitabu nakiri kimenibadilisha sana, nimekua sina displine ya hela hata kidogo nahisi nimechelewa kukisoma hiki kitabu and I promise from now on am gonna be rich trust me guys. Nimejipa miaka miwili yakuyafanyia kazi yote niliosoma. Sasa hivi nimeanza kusoma kitabu cha “ THINK BIG GROW RICH”.... Stay at home corona inaua.
Sent from iPhone 6s Plus
Nimesoma vitabu 3 vya Robert Kiyosaki, sijajutia kuvisoma zaidi ya mara 4 wala sichoki kivisoma. Vimeniimarisha sana kibiashara na uwekezaji.
Sent using Fly in any Weather.
Safi sana iyo kitu ishanipa mzuka wa kuacha Kaz niingie mtaan kupambana kiume nasubil tu right time ifike tu Safi sana mkuu
Nakuongezea kingine "The Personal MBA" Josh Kaufman" na "The Alchemist" by Paul Coelho
Safi sana iyo kitu ishanipa mzuka wa kuacha Kaz niingie mtaan kupambana kiume nasubil tu right time ifike tu Safi sana mkuu
Soma vitabu vya waandishi tofauti tofauti.Nimesoma hicho kitabu ila bado sina discipline ya hela asee sijui nimejiloga na nini!
Huyo jamaa ni bonge la genius utajiri anaoupata kwa kuuza vitabu ni zaidi ya alionao, nimebahatika kusoma baadhi ya vitabu vyake ukiachana na maswala ya displine ya matumizi ya pesa formula zake kwa huku kwetu haiwezekani