Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Paula Paul, nyumba ya kuishi ni liability, lakini hiyo haimaanishi kwamba watu wasiwe na nyumba za kuishi.
Shida ya masikini tuliowengi ni kuwa tunatumia jasho na damu kununua luxuries na liabilities... Ili upige bao fasta unatakiwa kutumia assets kununua luxuries.
Your job is not an asset kwa hiyo kutumia mshahara kujenga nyumba ya kuishi sio sahihi, Wengi huwa wanapinga hili..
Swali lako kwamba unafamilia na kupanga utajibana, unaanzaje kujenga nyumba ya kupangisha sijalijibu, kwa sababu inategemea na hali ya mhusika, kipato, ukubwa wa familia na mazingira mengine...
Lakini naomba nikujibu kifupi tu, jenga hiyo nyumba ya kuishi, kama ulivyosema kidogo kidogo huku tayari umeshamia ili kukwepa gharama ya pango, ikishakamilika, hama halafu ipangishe, wewe nenda kapange, si tayari unakuwa umeshaweza?
Mimi nadhani ni rahisi tu, lakini wengi tunataka ule ufahari kwamba, NINATOKEA KWANGU, ninaishi kwenye nyumba yangu, hata kama hakuna tija yeyote..
Mkuu kama kuna hoja nimesahau kuijadili nikumbushe..
Shida ya masikini tuliowengi ni kuwa tunatumia jasho na damu kununua luxuries na liabilities... Ili upige bao fasta unatakiwa kutumia assets kununua luxuries.
Your job is not an asset kwa hiyo kutumia mshahara kujenga nyumba ya kuishi sio sahihi, Wengi huwa wanapinga hili..
Swali lako kwamba unafamilia na kupanga utajibana, unaanzaje kujenga nyumba ya kupangisha sijalijibu, kwa sababu inategemea na hali ya mhusika, kipato, ukubwa wa familia na mazingira mengine...
Lakini naomba nikujibu kifupi tu, jenga hiyo nyumba ya kuishi, kama ulivyosema kidogo kidogo huku tayari umeshamia ili kukwepa gharama ya pango, ikishakamilika, hama halafu ipangishe, wewe nenda kapange, si tayari unakuwa umeshaweza?
Mimi nadhani ni rahisi tu, lakini wengi tunataka ule ufahari kwamba, NINATOKEA KWANGU, ninaishi kwenye nyumba yangu, hata kama hakuna tija yeyote..
Mkuu kama kuna hoja nimesahau kuijadili nikumbushe..