Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

#842 inaendelea,

Mwanzo kabisa ulisema kampuni za kiyosaki zilifirisika, hiyo ndio emotional na spiritual(mtaniwia radhi, sijui kufundisha, hadi mwenyewe nimejicheka).

Shuleni tunafundishwa kuwa kufail ni jambo baya na unachapwa ukifail, huku kwenye bussness kufail siyo jambo baya, ni ni vizuri ukifail, there is a saying in aviation "you havent crushed until you have crushed, until then, keep flying the plane"

Wakuu kesho, naona kabisa sieleweki, sijui usingizi!?
Lala ukiamka utakuta nimekujibu.
Ulale salama.
 
Ukitaka kutekeleza hayo mambo uliyofundishwa, utajikuta umekwama kwenye "analysis paralysis" bila kuchukua hatua yeyote,

Na ukija kufanikiwa kuchukua hatua, utafail, utakimbia na kusema biashara ni ngumu, utaenda kutafuta ajira.
Sasa hivi nakuja kuelezea ni kwa nini.
So hapo mtu anafail kwa kukata tamaa na sio kwa sababu ya elimu ya darasani.
 
Paula Paul, naendelea kujadili post yako namba 836.

Pale juu nilisema kuwa darasani inakosekana financial education,

Financial education ni pana sana kushinda formal education, kwa maana ya academic na professional(can you believe this?)



Elimu imegawanyika ktk makundi makuu manne, yaani inatakiwa kucover sehemu kuu nne:
1)physical
2)mental
3)emotional
4)spiritual

Formal education ina deal na namba 2) tu, mental, ilihali financial inatakiwa emotional na spiritual,

kwa hiyo iĺi uweze kupata financial education, lazima uwe prepared emotionally na spiritually, otherwise utakimbia tu.

Hii mada ina mambo mengi sana, hadi hapa inabidi nistop, ili nione kama sijapuyanga nje ya hoja.
Part ya emotions at working plaace/business ilikuwa ignored kidogo lakin recently imefanywa serious. Angalia kazi ya Drs. Travis Bradberry inayoitwa Emotional intelligence. Kipindi cha nyuma walikuwa hawaendi deep sana kwenye emotion. Ukiangalia kazi za Benjamin Grahm alielezea emotion but not that deep.
So bado formal educational ni muhimu.
 
Kwa ufupi mwandishi wa hicho kitabu amejaribu kuwa shauri wanawake wenzake wasiwe cheap. hivyo akawa anawapa mbinu na kujarubu kuwaelekeza jinsi ya kukwepa mitego yetu.
Mwanamke kutegemea pussy ni kuwa cheap.

Ni ku cheapen uwezo wake wa kujikwamua kutoka kutumia akili yake na uwezo wake wote, na ku concentrate kwenye pussy.

Ironically.
 
1.kama ulisoma my last quote niliyokuquote niliongelea suala la nyumba ( kumiliki nyumba) . una kumbuka?
Ni kweli nyumba unaweza isiwe investment na literally alikuwa anasema ni bora kupanga na kuwekeza kwenye real estate (RE).
Tuje kwenye uhalisia nikutolee mfano wewe, kama una familia yako mke na watoto. Maana yake ukisema usijenge ili kupanga nyumba nzuri itakuhitaji kulipa kodi ya shilingi ngapi kwa mwezi? Kwa mwaka jee? Haitoshi kununua au kujenga nyumba?

Okay alisema kwamba kumiliki nyumba ni expenses , itahitaji ulipe maintainance cost. Lakini kwani gharama ya maintainance ni shilingi ngapi na inafanyika Mara ngapi baada ya miaka mingapi?
Expences kama bills za maji , umeme hizo hazikwepeki kwa sababu hata uki rent a house lazima ulipe.
Nilikwambia kilichotokea kwa watu ambao walikuwa wanachota kila kitu ambacho kiyosaki anasema, bila kuchuja na kujua sio vyote vina work kwa kila mtu na kwa maisha ya kitanzania au ya kiafrika, Leo wamefilisika kwenye miradi waliokuwa wamewekeza, na nyumba za kuishi hawana zaidi sana wameishia kurudi vijijini baada ya kushindwa kumudu hata kodi.

Kwangu Mimi naona kumiliki nyumba unasave cost nyingi sana tofauti na ukipanga nyumba. Na ninaweza kumshairi Mtu kwa proper utilization za hela ni bora ajenge nyumba, halafu aanze kusave excess money ambazo angekuwa anapigwa kwenye hizo za kupanga.

2.Issue ya Elimu. Huwa anaishusha hadhi sana elimu na kufanya vijana wengi wasitamani kusoma. Ana msemo mmoja kwamba wenye C wamewaajiri wenye A. Yaani kwa maana nyingine ni kwamba wasomi wameajiriwa na ambao hawajasoma. Kwahiyo kwa kifupi haoni umuhimu wa shule. Na vijana siku hizi wameshikilia huo msemo sana tena baada ya kushindwa kufanya vizuri shuleni.

Lakini wanashindwa kujiuliza bila shule wangeweza kweli kusoma hata this rich dad and poor dad? Bila shule wa naweza kuelewa concept zote alizoziandika kwenye kitabu? Proper management ya fedha inahitaji pia elimu. Well na kama kweli shule haina maana kwanini huyo aliyefeli inabidi amwajiri msomi ili afanikishe mipango yake?.

NDIO MAANA NIKASEMA KIMEKAA KUTOA FARAJA BADALA YA NJIA SAHIHI.

NB, kumbuka haya ni mawazo yangu yanaweza kuwa sahihi au sio sahihi.
Hivi vitabu vingi huwa vinaandikwa kwa kuangalia mazingira ya ughaibuni, ukivisoma mazingira ya Tanzania ni muhimu kukumbuka hilo.

Za kuambiwa changanya na zako.

Ama sivyo utaambiwa wekeza kwenye stock market wakati Tanzania hakunanstock market ya maana.
 
Mwanamke kutegemea pussy ni kuwa cheap.

Ni ku cheapen uwezo wake wa kujikwamua kutoka kutumia akili yake na uwezo wake wote, na ku concentrate kwenye pussy.

Ironically.
Hili ndio tatizo la kusoma comments uka comment. can you read the book and then come back here to comment
 
"A woman is never looking for an individual who is lesser. Therefore putting yourself in a position to appear awkward, tells her that you are a lesser man. Lesser men are at the bottom of the food chain. Therefore, you have slim to no chance to receive large amounts of attention from females. I hope I’m explaining this in a way you can understand.

Women have options therefore they learn at a certain age that it’s important to weigh those options. They do this by applying the standard generalized test. If you are an incredibly awkward individual in any of the ways mentioned. You’ve already failed a portion of the test. Simply because you made this woman uncomfortable.

Why do you think women go after rich men. Because they know these men can make them incredibly comfortable. They don’t have to pay for anything. They don’t have to worry about bills. They don’t really have to worry about anything. Why do you think women stay in relationships with horrible individual. It’s because they become incredibly comfortable within that situation. Once the situation becomes too uncomfortable, that’s when they start to search for another situation that’s more comfortable" by GUY BLAZE.
Hii ipo kwenye How To Get A Woman To Pay You?
 
Jamani Mimi napenda kupika na kufanya biashara ndogondogo! Ni vitabu gani ambavyo naweza kusoma vikanisaidia.
Kingine...nna hasira za karibu saanaaaa! Naombeni jina au hata link ya kitabu kitakachonisaidia nisiwe na hasira! Ahsanteni
 
Hili ndio tatizo la kusoma comments uka comment. can you read the book and then come back here to comment
I have 1200 books on my list.

Why should I read this?

Surely you can show my ignorance regarding the book by putting some quotes here.

The central theme of the book is flawed, in that it reduces women empowerment to prostitution.

That itself is cheapening a noble ideal to a base, grotesque and mundane settling down to the lowest common denominator.

Even bitches, and I use that word in its proper and original meaning, female dogs, know the power of the so called pussy.

Women ought to aspire to use more than natural reflexes in their empowerment.

Lest they devolve into spineless earthworms.
 
Nimecheka[emoji4][emoji4][emoji4].
Mwenye power yake haitumii vizuri, hadi anakupa muda wa kusoma vitabu hadi nyumbani?

ASOIAF ipo hadi book ngapi? Hivi ni vizuri kusoma kabla ya kuwatch show au baada?
Wewe umesoma wakati gani?
Nasikia kina mambo ambayo kwenye show hayapo lakini kwenye vitabu hapo.
Nilisoma book one nikaweka kando. Nishawishi na Mimi.

Viko sita mkuu. A Game of Thrones, A Clash of Kings, A Feast for Crows( 2 parts), A Dance With Dragons na The Wind of Winter. Ukisoma kabla ya kuangalia nadhani inapendeza zaidi sema producers walistukia hii kitu.Maybe walimbana huyu author hivyo utokaji wa hivi vitabu ukawa mgumu kidogo mpaka series zimeisha.
Ni fantasy nzuri yenye ubunifu mkubwa with unlimited imagination unazoweza kuzioanisha na ulimwengu wa leo especially when it comes to political and economic powers.
 
1. ESSENTIAL TORT LAW.
Hiki kitabu kinaongelea sheria ya madhara pamoja na fidia unayoweza kwenda mahakamani kudai kutokana na madhara uliyosababishiwa na mtu fulani katika jamii yako. Mafano, Umenunua soda mwisho wa siku ndani ya soda ukakuta kuna mende na huyo mende akakuletea madhara una haki ya kwenda kushitaki mahakamani kudai fidia.


Katika nchi zilizoendelea mfano England, sheria ya madhara inaenda mbali zaidi mpaka inatoa mwanya kwa watoto kuwashitaki wazazi wao kwa madhara wapatayo hao watoto kutokana na uzembe wa wazazi wao.
 
Back
Top Bottom