Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
- Thread starter
- #841
Lala ukiamka utakuta nimekujibu.#842 inaendelea,
Mwanzo kabisa ulisema kampuni za kiyosaki zilifirisika, hiyo ndio emotional na spiritual(mtaniwia radhi, sijui kufundisha, hadi mwenyewe nimejicheka).
Shuleni tunafundishwa kuwa kufail ni jambo baya na unachapwa ukifail, huku kwenye bussness kufail siyo jambo baya, ni ni vizuri ukifail, there is a saying in aviation "you havent crushed until you have crushed, until then, keep flying the plane"
Wakuu kesho, naona kabisa sieleweki, sijui usingizi!?
Ulale salama.