Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Paula, PDF ya hvi vyote siwezi pata?
Hiki ni kitabu cha 3 na cha mwisho kwenye series ya Self-help za Rhonda zinazoenda kwa jina la The Secret.

Kuna The secret 1, 2 &3.
Cha kwanza kinaitwa The secret.
Cha pili kinaitwa The Power na,
Cha tatu kinaitwa The Magic.
Hakitofautiani sana na ulichosoma maana ni mwendelezo wa The Secret na The Power ila kina mambo mazuri zaidi.
Hiki kitabu kina siku 28 ambazo ukizimaliza unakuwa umepiga hatua sana kwenye maisha yako.

Ni kitabu ambacho kinakufanya uwe positive thinker, to pay attention on your own needs. Ukikisoma ukiaply ujumbe uliopo basi utajikuta unakuwa na furaha na utajivunia kila ulicho nacho. Utaachana na mambo ya vinyongo au kubeba moyoni vitu visivyo muhimu. Hautapoteza muda wako on Negative things

Unaweza kila siku ukasoma siku moja, maana kipo kwenye mfumo wa Day 1, Day 2 , Day 3 nk. Sasa kila "day" ina funzo lake. Hivyo utapata muda mzuri wa kutafakari na ku-apply kwenye maisha yako halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Great & Lesser key of Solomon- Aleyster Crowley.

2. Quaballah
3. Men are from mars & women are from Venus - John Gray

Huyu Aleyster Crowley anatambulishwa kama mwanzilishi wa dini inayomuabudu shetani(satanism).

Nilisoma kitabu chake kimoja zamani kidogo.

Something about love being the law of the will. Can’t remember very well.

Hicho Greater and Lesser Key of Solomon kina theme hiyo ya satanism?
 
Wale waliokuwa wanataka hizi series za The Secret.
 

Attachments

I lost my mom 3yrs ago, it was pretty shattering and numbing. My friend recommended this book to me, "The Reptile Room" by Lemony Snicket. This is children's series of unfortunate event but I read them as an adult and helped me a ton.
At first I didn't want to accept that my mom is gone even after her funeral, but this quote helped me out to accept the reality,

"It is a curious thing, the death of a loved one. We all know that our time in this world is limited, and that eventually all of us will end up underneath some sheet, never to wake up. And yet it is always a surprise when it happens to someone we know."

This quote from the book also helped me when I thought I'd never be happy without her by my side and how to cope without her.

"I think we'll always miss our parents. But I think we can miss them without being miserable all the time. After all, they wouldn't want us to be miserable."

Since then, I hate to express my sadness, I would rather smile and show that everything is okay even if I feel depressed. I don't want my mom to worry about me because I know all she wants is for me to be happy.

This book has became the best book to me, followed by A grief observed by Lewis and Love, Aubrey by Suzzane Lafleur.

I have read the first two books in this series i e The Bad Beginning and The Reptile Room.

I would be obliged if you can upload the third/ last part which has evaded me so far.
 
Sahihi kabisa, kitabu hiki movie nyingi zimechezwa kwa kutumia story hii ya jamaa.
Bahati nzuri pia ktk YouTube kuna movie zake kamili kwa wale watakaotaka kuliganisha kama director wa movie wametenda haki au la ktk kuiweka story hii katika big screen.

Papillon moja ya vitabu vinavyoweza kuteka hisia ya msomaji na ukawa mguu kwa mguu na mhusika mkuu ktk mazingira yote anayopitia. WanaJF wapenzi wa vitabu mnaweza kukipa muda mkakisoma na kujifunza mengi ya dunia hii.

Upo sahihi mkuu. Papillon na sequel yake, Banco vinaweza kumshawishi mtu kuwa mamlaka zote ni ovu sana na hivyo kuwa na attitude ya uasi.

Kwa uhakika usomaji wa vitabu unataka umakini na busara pia ili kuepuka ‘equating knowledge to wisdom’

Lakini pia ni hadithi tamu sana.

Kuanzia kwenye kesi ya mauaji ya kusingiziwa, gereza la rumande kule Ufaransa, safari ya kwenda magereza ya visiwani-Iles du Salut, adventure za kutoroka na maisha gerezani, kifungo cha upweke(solitary confinement), maisha na wahindi wekundu, mpaka kutoroka kwa mafanikio kutoka Devil’s Island ni mkasa wenye kuvutia sana.
 
Karibu sana.
Hiki kitabu kinafundishwa shuleni? Kimefanana na vitabu kama vya I.M.Pandey.
Cjajua mi sjasoma finance,najisomea tu kuongeza maaraifa napenda vitabu vya business na stocks ndo Kuna mtu aliniambia nikitafute icho ndo nkaomba huku.huyo mwandishi I M pandey anaandika vitabu vya business?Kama una vitabu vyake naomba utume Basi nivicheck Kama hautojal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cjajua mi sjasoma finance,najisomea tu kuongeza maaraifa napenda vitabu vya business na stocks ndo Kuna mtu aliniambia nikitafute icho ndo nkaomba huku.huyo mwandishi I M pandey anaandika vitabu vya business?Kama una vitabu vyake naomba utume Basi nivicheck Kama hautojal

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona kama haujasoma Finance hiko kitabu ni kizito sana? Au umesoma uchumi? Kama unakielewa basi wewe ni genius.

Vitabu vya Pandey nadhani vinauzwa hakipatikani free.
 
Back
Top Bottom