Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Bora kumtoa kafara mzazi ama mtoto ili kuokoa wengine ktk ukoo kutoka kwenye lindi la umaskini

Ni kawaida sana kumbadili mmoja ku mpesa akaudumia wengne
Kulko wote kua maskini

Kwa upande wangu mi naona ni sawa kbsa ni heli umtoe mmoja ili wengne waishi maisha mazuri naya amani

Na ndo maana ata madreva wa mabasi wanaambiwa ni bora kugonga mtu mmoja akafa kulko kuuwa abiria 60 kwenye basi
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hakuna hela za miujiza ndugu,,,weka bidii katika kazi muombe mungu kila uamukapo,weka nidhamu kwenye pesa,weka akiba ukiweza hiyo kanuni wewe ni tajiri,,,utajiri na kila kitu ni mali ya Mungu.[emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom