Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana watoto wa kike, wewe ni tajiri au masikini???? Ulisikia wapi tajiri akawa na masikini wakaoana, mnakutana wapi???
Alafu acha kudanga umri umeenda tafuta kijana mwenzio olewa mpambanie maisha yenu.....!!!! Tofauti na ivyo jiandae kuteseka
 
Mtu anaeongea haya baba yake na uzee wote hajatoboa maisha anataka aolewe na kijana wa 28 akiwa ana mafanikio akili za kuwazia tundu la buza.
Alitakiwa aseme bora kuolewa na mume wa mtu mwenye pesa kuliko kijana hasiye na pesa, sasa anavyosema mzee hakuna mzee mwenye pesa akawa hana mke wala watoto

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi unawaza hivyo, ukiacha papuchi, ni value gani unaenda kuadd kwenye hiyo ndoa/mahusiano?
Na papuchi yenyewe unaweza kuta ni marapurapu kama utumbo wa mafungu pale vingunguti
 
Subiri wanaume maskini waje wakupopoe ukome.


Pesa sio kila kitu ila muhakikishe zipo za hapa na pale.
Na zikizidi pia mtashindwa jicontrol .

Pesa ya mboga, usafiri na mavazi isiwapige chenga. Mbona burudani tu.
Mtu anadate na kazee wanakutania mafichoni kwa kuogopa macho ya watu, ya nini hayo aisee.
 
Wazee wanaojua kutunza na hawana papara. Tatizo ni kwamba wewe msichana kama ulishazoea vijana ni lazima utakuwa na kijana wa pembeni ili akufikishe unapotaka.
 
Mwanamke mwenye mawazo kama huyu hata kama ukiwa na mali ukaoa atakufilisi na kukuacha, usioe tu kwa sababu mwanamke mzuri angalia anayepambana siku ukiyumba akupambanie
 
Na sisi hatukubali kuoa wanawake masikini dadangu!!!!Wala hakuna shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…