Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.
"maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu."🤭
 
Mke wa Mrema katoka 0-0 Jack wa Mengi katoka 0-0 so ni option yako then ili umpate mzee wa kukupa Maisha hapa Tz sio Rahisi Kama watu wanavyodhani .

Jaribu kumtafta wazee wenye pesa Kama Sugu au Kusaga uone Kama utampata?!
Fact
 
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.
Point sana
 
Mke wa Mrema katoka 0-0 Jack wa Mengi katoka 0-0 so ni option yako then ili umpate mzee wa kukupa Maisha hapa Tz sio Rahisi Kama watu wanavyodhani .

Jaribu kumtafta wazee wenye pesa Kama Sugu au Kusaga uone Kama utampata?!
Sugu sio mzee, ni mtu mzito
 
Sexless umeandika pumba tupu.

Nyie ndo wale mnaowaibiaga waume zenu na kutoroka.
Usifikiri mama yako alimkuta baba yako katika Hali ya kiuchumi aliyonayo Sasa hivi.
Maisha Ni hatua acha kuwa mjinga.
 
Nyie ndio wale tunaowaonaga kwa mwamposa mkimuomba Mungu awape mume yeyote kigezo awe na pumzi yaani uhai tu unatosha
 
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.
Hao wazee matajiri wako wapi wanaotaka kuoa ?!! Wanawake akili hua hawana hata punje. Kila siku mnalia kutafuta mume wa kuwaoa hata konda HAMUMPATI, wewe unakuja na kutaka kuolewa na Jakaya eti ana hela tayari, hivi una akili wewe ?!

haya endelea kuota ndoto yako mama waambukize na wenzako kwamba wataolewa na Bakhresa wakati wewe unaolewa na Mo.
 
Washauri pia kwamba hao matajiri kama hujui alipoupatia utajiri wake usithubutu kwenda. Everything has a price. Kuna watu wamepewa masharti kwamba kila mke anaeoa akimaliza mwaka atolewe kama kafara. So ana kazi ya kuoa mikoa na vijiji tofauti. Wengine wanaambiwa oeni mnavyoweza ila siku mkizaa mtoto mjue mtakufa. Matajiri wengine mali zao ni kafara ya damu mwanzo mwisho.

Na ukimkuta hana mda wa hivyo vyote vya makafara au pesa zake ni za ku hustle basi jua kwenye mapenzi hana muda. Yeye anatafuta. Anashinda angani kwenye ndege kuliko anavyoshinda na mkewe. So waambie tu wadada wakiwa wanatafuta hao wazee wenye pesa wawe wameshajua priorities zao kwamba ni shopping na sio mapenzi.

Wengine ukiwakuta jua kuna mwanamke alipambana hapo so usiwe chanzo cha kumuondoa huyo aliepambana na mumewe. Wengine mnawakuta wana watoto. Hao watoto hawato wakubali kama mama na watakutukana kwasababu watajua umefuata mali
Of which is true. Kama unapenda wazee mbona umewaacha kijijini kwenu😄

Ukipata bahati ya kupata pazuri ni 1/1000. Goodluck love hunters

NB: Dada, kama una mwanaume wako anabangaiza shikilia hapo. Upendo wa kweli haupo kwenye pesa. Siku zikiondoka sijui utakua mgeni wa nani uko na kibabu chako kinaumwa hoi na huna mapenzi nae. Wavumilieni kina jonsoni siku watainuka tu. Ila msikae hadi in your late 40’s eti unawinda mbaba mwenye hela unaweza kuzeeka na malengo hewa. Take it as it is. Goodluck once again.
Ahsante..nimepona dadaa
 
Mke wa Mrema katoka 0-0 Jack wa Mengi katoka 0-0 so ni option yako then ili umpate mzee wa kukupa Maisha hapa Tz sio Rahisi Kama watu wanavyodhani .

Jaribu kumtafta wazee wenye pesa Kama Sugu au Kusaga uone Kama utampata?!
Yani umesummarize maneno yote kabisa yani wewe umetufungia mada.
 
Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskin

Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.

Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.

Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.

Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?

Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.

Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini hisababisha magonjwa ya kizembe na ku.pelekea mtu kufa kizembe.

Usikubali kuolewa na maskini.
Sijawah kuona mwanamke mwenye akili primitive kama wewe daah
 
Back
Top Bottom