Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Eva alimkuta Adam na kitu gani!?Si ndio!! Adam alipoumbiwa Eva alikuwa tayari ako na kila kitu. Hamjifunzi tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eva alimkuta Adam na kitu gani!?Si ndio!! Adam alipoumbiwa Eva alikuwa tayari ako na kila kitu. Hamjifunzi tu?
Hakina cha free hapo. Akikupenda mtatumiana. Sasa hiyo free lunch inakuja vipi hapo?No free lunch siku hizi hata usijidanganye
Bustani ya Eden iliyokuwa na kila kitu.Eva alimkuta Adam na kitu gani!?
Hizi kauli zipo miaka dahali iliyopita lkn tinashuhudia ndoa zikiingia shimoni kila siku.Unaweza kumpata mwenye hizo pesa na zikawa chungu kuliko shubiri.
Bora umpate anayekupenda.
Anayekupenda atakuvumilia, hata hesabu mabaya yako, atakuamini na haya ni muhimu sana.
Kumtegemea mtu mwingine kiuchumi hata kama ni mume wako ni jambo baya mno.
Ndiyo ushangae Sasa. Kuna wasiofuatilia mambo humu wanasema ametoka bila bila.K Lyn yamemtokea yapi!!!?? Nnachofahamu ni ule wosia aliodai ni wa marehemu ndo umekataliwa ila urithi wa wanae upo pale pale kwa kuzingatia mgao sawa kwa wote.
Kwani bustani ilikuwa yake? Mbona walifukuzwa sasa!?Bustani ya Eden iliyokuwa na kila kitu.
Ilikuwa yake ni ujinga wake tu ndio ulimponza, hivyo ikabidi apambane na hali yake.Kwani bustani ilikuwa yake? Mbona walifukuzwa sasa!?
Eva na Adamu walianza mwanzo kabisa wakiwa hawana kitu na hata baada ya kufukuzwa bustanini walienda huko duniani kuyaanza maisha upya wakiwa pamoja.
Vipi na wanaume tukiweka mgomo wa kuoa wanawake maskini, mtatoboa kweli?Maisha yetu ni mafupi sana hapa duniani, hivyo tunapaswa kufurahia maisha muda wote. Hii habari ya kuoana na mtu eti mchume wote baadaye mtafurahia maisha haikubaliki. Maana hakuna aliye na mkataba na Mungu, unaweza ukafa the next morning.
Na kwa taarifa yako furaha na umaskini havikai pamoja, ni kama maji na moto. Ukiolewa na maskini maana yake ni kwamba umeipiga teke furaha ktk maisha yako. Asikwambie mtu, pesa ndiyo sabuni ya roho.
Kama huna hela utalala sehemu yenye uvundo kama banda la beberu la mbuzi. Huyo mume wako maskini anakuwa amelala huku akikoroma maana amechoka utadhani yuko ICU (ndiyo maana ya mlalahoi). Mate
yanamtoka na kulowesha godoro unaweza kudhani kakojolea.
Utajikuta tu unaamka na kuanza kulia kwa uchungu huku ukimuuliza Mungu; why me? Maisha haya mpk lini?
Na kuna ndharia mpya kuwa maskini hatauona ufalme wa Mungu. Kwasabb kila siku anatenda dhambi ya manung'uniko. Maskini hana shukurani kwa Mungu wake. Kila siku akijisogeza mbele za mola wake anaorodhesha maombi zaidi ya mahitaji yake kwa Mungu. Lkn tajiri kila siku anamtukuza na kumshukuru kwa hatua aliyopiga. Ndiyo maana hisikii tajiri akiangushwa na pepo wachafu.
Umaskini ni ugonjwa. Kwann ? Umaskini husababisha magonjwa ya kizembe na kupelekea mtu kufa kizembe.
Usikubali kuolewa na maskini.
Kuna swali la mwamba hapo juu kwamba, una kitu gani cha kuongeza kwa huyo mzee tajiri unayemtaka tofauti na hiyo k yako? Tunasubiri jibu lako ila unajifanya hulioni.Ndiyo ushangae Sasa. Kuna wasiofuatilia mambo humu wanasema ametoka bila bila.
hahha tutafutie tu kipenzi
Hahahaaa !!! na akina Putin 😁Coc mwachie wa lamba lips kina kapachino
Mtoto mlito!!hahha tutafutie tu kipenzi
wanajua kujali sasa
Wazee wa chapa ilaleHahahaaa !!! na akina Putin 😁
hahah ..Muda ukifika mtatulia tu!!Wazee wa chapa ilale
Bustani haikuwa ya AdamBustani ya Eden iliyokuwa na kila kitu.
"Alikabidhiwa" ni ujinga wake ulimfanya atimuliwe.Bustani haikuwa ya Adam