Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Andiko refu limejaa ujinga kwani sifa za makao makuu ni hizo unazo zitaka wewe hayo ni mahitaji yako wewe kwa mtu aliye na akili atajua tu ulicho kuwa unataka kukifikisha kwa watu ni namna unavyo ona magufuli alifuja pesa na sio kuwa dodoma hapa fai kuwa makao makuu
 
Mbeya inazidiwa Hadi na iringa kimaendeleo ndo mje mlinganishe na Dodoma kweli??

Yaan mbeya ni Jiji la ovyo Sana kwanza miundombinu yake ya ajabu Sana akija kiongozi yoyote wa serikali jam itakayotengenezwa barabarani sio ya kawaida

Mbeya mzunguko wa pesa hakuna unakuta mtu anakaa mjini ila anamashamba huko milimani ko chakula analima huko milimani , anavuna analeta ndani hakuna kununua chakula na uyo anakaa mjini

Mbeya ni Jiji la ovyo saana sijawai kuona.
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
 
Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Chuki tupu
 
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
Huyu mama ndiyo hataki kabisa kuisikia
 
Yes nakuunga mkono 100%,Dodoma wanaiforce tu kuijenga, bila Serikali kuijenga,ingepitwa hata na Katavi, Mbeya ilitengwa kwenye miradi mbalimbali na imejengwa na wana mbeya, ni vile watu wa Mbeya ni wachakarikaji sana si wanaume si wanawake,nenda south,nenda msumbiji nenda Malawi,nenda Botswana,zambia utawakuta wanapambana Sana tu,Mbeya ya Sasa ipo 🔥sana tofauti na miaka ile ambapo miji mingi ilikuwa ya kawaida
Jiwe alikwama sana, Dodoma bila kile ki udom chao ingekua sehemu ya kufugia mbuzi tuu
 
Ubora wowote unauona Mbeya hata kama ni kidogo sehemu kubwa ni jitihada zao watu wa mbeya.
Mbeya ilitengwa na serikali toka 1995,walipoamua kuichagua nccr. Umekuwa mkoa wa mapambano na serikali kwa kipindi chote.
Hata wao wanafahamu huwa hawapendwi, fikiria mpaka mwananchi wa kawaida aushambulie msafara wa Rais kwa mawe,siyo jambo dogo.
Inafikia mahali wanaona bora hata wapigwe risasi lakini.siyo kwa kuonewa vile!!
Raslimali zilizowekezwa Dodoma,zingepelekwa hata theluthi moja tu mbeya,ungeishangaa mbeya wewe.
Miundombinu yote huwekwa na serikali kupitia Kodi inayokusanywa kwa wananchi.
Lakini cha kushangaza fedha hizo za umma zimegeuzwa mali ya chama fulani.
Wao ndio wanaamua wapi tujenge barabara,kwa vigezo vya walitupa kura ngapi kwenye uchaguzi.
Naamini kama Magufuli angeendelea kutawala pengine angefikiria kuishusha mbeya siyo kwa chuki zile.
Asee mzee umechambua vizuri sanaa

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
By the way,tusitake miji mizuri huku wa kuitengeneza hayo majiji na sisi.Vipato vya Watanzania vinaendana na majiji yetu.

Ukienda tu hapo Nairobi ukilinganisha na Dar,unaweza ukasema Dar ni kijiji.

Mji kama Nakuru ambapo ni wa 4 kwa pale Kenya,inaizidi hata Mwanza ambapo ni Jiji letu la Pili.umaskini mbaya sana.
 
Ahsante kwa uelewa wako mpana... Dodoma inajengwa na serikali wenyeji wagogo hawakotayari kujenga mkoa wao

Sio wafanya biashara wala wasomi wa kuendeleza mji...

Stand ya magufuli ndio alikurupuka sanaa kujenga mjengo wote ule na hakuna abilia kivile kwasababu wengi wao DODOMA wanapita tuu..

Dodoma hamna kitu

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hakika katika vitu vya ovyo vilivyopoteza mabilioni ya pesa kiholela basi ni ujenzi wa hiyo stendi ya Dodoma, na kamwe haitakuja kuturudisha faida.
 
Nimefika dodoma toka juzi wagogo
Hawachangamki
Hwaongei
Wala hawacheki

Dodoma sio mji wa kibiashara
Dodoma sio mji uliochangamka
Dodoma kuna wagogo ambao hawajui shughuli yao maalumu ni ipi

Dodoma hamna kitu
Nimefika dodoma hamna sehemu ya starehe ambayo watu wanakosa seat za kukaa ata ukifika sa 6 usiku unapata seat sehemu maalumu za starehe

Bora Mbeya uje uone kulivyo changamka

Mbeya pazuri
City pub
Mwailubi

Ni raha tupu

Bora mbeya

Niwapongeze kwa nyama choma mpo vizuri ila vingine hamna kitu...

Dodoma haifai kua makao makuu ya nchi wagogo wamelala mnoo

Magufuli pia alikulupuka kujenga eneo lote lile kwaajili ya stand yamebaki magofu tuu sijui ndimo alimokua napigia pesa kwa kampuni yake ya ukandarasi

Eneo la stand la ndugai ni kubwa mnoo lulingana na uhalizia jamaa alifuja pesa saanaView attachment 2215992

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa bana.

Makao makuu Tena unataka starehe?

Starehe nenda Dar/Tanga n.k

Dodoma ni serikali.
 
Mji wa Mbeya hauko planed kabisa,ndio maana hauvutii hili tatizo la kujenga hovyo tunalo sana waafrica,Mbeya ingekuwa planed vizuri ingependeza kama Edmonton
Hivi lile eneo la Iyunga litakuwa na unafuu kwa miaka hii ya karibuni? Kuna siku nilikuwa natoka Nzovwe nikapita njia ya mkato kwa miguu ili niende nikapande treni! Kuna chocho nilipita, si nikajikuta nimetokea chooni!

Vijumba vilikuwa vimesongamana sana kwenye lile eneo karibu na ile stesheni ya TAZARA Iyunga.
 
Back
Top Bottom